Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Kwa Wahaya wengi hupata makengeza kwasababu ya kukwepa maji ya katelero, yanapo walukia kwani huruka hadi usoni, chezea katelero?
Wataalamu wa afya hivi kuna uhusiano wowote wa makengeza na mtindio wa ubongo? Naskia watu wengi wenye makengeza hua wana tatizo Hilo
Subiri waje wakujibu.
Nini kinachosababisha mtindio wa ubongo<utahaira> kwa watoto? Na mara nyingi sura zao zinakuwa sawa hata akiwa mzungu anafana sura tofauti ni rangi tu,nini chanzo? Dalili zake za awali ni zipi?