Makengeza yanatokana na nini?

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,598
Wana Jamii Forums hamjambo.

Ni sababu zipi zinasababisha mtu kuwa na makengeza asilia? (Hapa siongelei makengeza ya ajali za ukubwani).

Nimekuwa nikifuatilia na nimegundua watu wengi wenye makengeza ni wa kabila fulani na nimewashirikisha watu wengine nao pia wamekuwa wakinipigia simu kunijulisha kwamba utafiti wangu unaelekea kuwa wa kweli.

Sasa najiuliza ni kwa nini kabila hilo linakuwa na idadi kubwa ya watu wenye makengeza.
 
Tafiti zinasema unapo kula mbunye mkiwa utupu bila kujifunika huku miale ya jua ikiwachoma mwaweza mzaa mtoto makengeza
 
 
huo utafiti ulifanyika kwa vigezo gani?
 
Hakuna Ki2 Kama Hicho Mim Nasomea Macho, Katika Taaluma Ye2 Inasema Kwamba, Strabismus/makengeza Inatokana Na Imbalance Of Extraocular Muscles, Na Mara Nying Huwa Congenital, Na Pia Inakua Inaambatana Sana Na Amblyopia, Na Wala Co Makabila, Cjui Umeelewa
 
Muulize kamanda kova, jeshi haliiitaji walemavu na yy kova bado yupo haahahaha
 
Mara nyingi husababishwa na ugonjwa wa degedege au surua kwa watoto wakiwa wadogo.
 
makengeza inasababishwa na laana ,yawezekana katika uko kuna mtu aliwahi kutukana kengeza ,kwa hiyo ndugu yake au Mtoto na Huyo aliyefanya hivo huzaa kengeza.
 
Unazungumzia makengeza yapi? Ya Mbowe, Makani, Kova au Chenge? Yote yana sababu tofauti tofauti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…