Joseph Mbilinyi Mwenyekiti wa kitongoji cha Dombwela wilayani Makete mkoani Njombe baada ya wizki kukithiri na kufanikiwa kumkamata mmoja ya watuhumiwa amemfikisha mkutanoni na kuwataka Wananchi "Nyie ndio muamue tumfanye nini huyu mtuhumiwa lakini sio kumuua"
Huyu kiongozi anaitafuta sheria, elimisheni wazee wenu waepuke kamera na vinasa sauti!, ndio wizi nj mmbaya lkn mwizi akishikwa kuna taratibu zake akiwa kama kiongozi aliapa kuzifuata!.
Huyu kiongozi anaitafuta sheria, elimisheni wazee wenu waepuke kamera na vinasa sauti!, ndio wizi nj mmbaya lkn mwizi akishikwa kuna taratibu zake akiwa kama kiongozi aliapa kuzifuata!.
Huyu kiongozi anaitafuta sheria, elimisheni wazee wenu waepuke kamera na vinasa sauti!, ndio wizi nj mmbaya lkn mwizi akishikwa kuna taratibu zake akiwa kama kiongozi aliapa kuzifuata!.