OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hapa ni baadhi ya makinda wachache wakiwa Uwanja wa Ndege tayari kwenda kupata utulivu Egypt
Pongezi kwa tajiri namba moja Mo Dewji, na uongozi wote wa Simba SC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pongezi kwa Moh,View attachment 3036701
View attachment 3036702
View attachment 3036703
Hapa ni baadhi ya makinda wachache wakiwa Uwanja wa Ndege tayari kwenda kupata utulivu Egypt
Pongezu kwa tajiri namba moja Mo Dewji, na uongozi wote wa Simba SC
Mujipange ligi ya msimu ujao sio lele mama, hao makinda wenu munao wasifu, bila kuwaona wakicheza popote, musije mukawakataa.Vyura bhana 😂
Ile timu ya kichawi bro. Huyo Lameck iko siku atajutia uamuzi wake.Dah Costo wamembania lameck angekuwa kwenye hii squad leo
Mujipange ligi ya msimu ujao sio lele mama, hao makinda wenu munao wasifu, bila kuwaona wakicheza popote, musije mukawakataa.
Na msimu uja wanayanga tumejipanga kumtetea Mangungu kwa gharama yoyote.
Haiwezakani, timu inasajili, sifa zinaenda kwa Moh, ikivurunda jumba bovu mumuangushie Mangungu, hicho kitu msimu huu tatakipinga kwa vitendo.
😂Pongezi kwa Moh,
Mavi kwa Mangungu.
Sasa Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN sifa ya mchezaji kusajiliwa Mikia FC aka Mbumbumbu FC ni rasta na mzuzu.View attachment 3036701
View attachment 3036702
View attachment 3036703
Hapa ni baadhi ya makinda wachache wakiwa Uwanja wa Ndege tayari kwenda kupata utulivu Egypt
Pongezi kwa tajiri namba moja Mo Dewji, na uongozi wote wa Simba SC
Sifa za Uto kusajiliwa ni uwe za 38 ukitokea SimbaSasa Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN sifa ya mchezaji kusajiliwa Mikia FC ni Rasta na mzuzu.