Makinda Simba Sc wapaa kwenda Pre Season Misri

Makinda Simba Sc wapaa kwenda Pre Season Misri

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
e23ddf98183e4321982d001f63cc485f.jpg

c14f4466fbc1466695a37cdf227e8bf4.jpg

d859063e4467473f82d7210cce9b8ec7.jpg


Hapa ni baadhi ya makinda wachache wakiwa Uwanja wa Ndege tayari kwenda kupata utulivu Egypt

Pongezi kwa tajiri namba moja Mo Dewji, na uongozi wote wa Simba SC
 
Vyura bhana 😂
Mujipange ligi ya msimu ujao sio lele mama, hao makinda wenu munao wasifu, bila kuwaona wakicheza popote, musije mukawakataa.

Na msimu uja wanayanga tumejipanga kumtetea Mangungu kwa gharama yoyote.

Haiwezakani, timu inasajili, sifa zinaenda kwa Moh, ikivurunda jumba bovu mumuangushie Mangungu, hicho kitu msimu huu tatakipinga kwa vitendo.
 
Timu NSSF mpoo
Mujipange ligi ya msimu ujao sio lele mama, hao makinda wenu munao wasifu, bila kuwaona wakicheza popote, musije mukawakataa.

Na msimu uja wanayanga tumejipanga kumtetea Mangungu kwa gharama yoyote.

Haiwezakani, timu inasajili, sifa zinaenda kwa Moh, ikivurunda jumba bovu mumuangushie Mangungu, hicho kitu msimu huu tatakipinga kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom