johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kamisaa wa sensa mama Makinda amesema Kaya zote zitapitiwa na makarani wa sensa cha muhimu ni uvumilivu tu
Makinda amewasihi sana wananchi kuacha taarifa nyumbani kama watakuwa hawapo
Chanzo: Millard Ayo
Makinda amewasihi sana wananchi kuacha taarifa nyumbani kama watakuwa hawapo
Chanzo: Millard Ayo