Making Him/Her ..a husband/Wife and a Friend


Hahahaha Babu bwana, ...............haya nimekusoma mjukuu wako Mtiifu.
 
Hakuna kitu kizuri duniani kama rafiki wanandoa wengi wanaishi kama mtumwa na mfalme mmoja anatoa order mwingine anafat

Yaani umegonga msumari wa moto kwenye kidonda! Asante Smile
 
Last edited by a moderator:
Nijuavyo mimi,ili muwe na familia bora lazima kuwe na urafiki baina yenu.Tena huu urafiki uanzie mwanzo kabla ya ndoa.Urafiki faida yake ni kuleta mawasiliano bora kati yenu.Kunapokuwa na mwawasiliano uhusiano utaimarika kwani mtakua huru kuelezana yale ya muhimu.Ndoa bila urafiki itaenda lakini mara nyingi ni ya kidikteta zaidi!
 
Siku hizi umekuwa mjukuu mtukutu. Ntakuachia kalaana uolewe na jidume kubwa la maadui....:sleepy:
.........Babu nimekukosea nini tena jamani? Mie natafuta rafiki Babu nije unipe mbinu mbinu??
 
Hapo tuko pamoja babu! Sio tu kaushuzi lakini kutumia bafu pamoja, yeye akifanya vitu vyake toilet na zile gas za praaaaaktatumbaaa wakati mie napiga mswaki hapo huku namcheka! Who cares, maisha yenyewe mafupi! Hivi kila time ukijiskia ku-breki ze wind utoke bedroom? Akhuuuu!
 
Am so humbled buddy, hehehe, especially now that I have been clean since forever but I miss my gun.
Its easy to tell that KING'ASTI is a woman on another league of wisdom

Salute, salute, salute......................
 
Rafiki, kama ulishaingia kwa gia ya kunyenyekea na kumwita baba nyiingi, sijui ukibadilika na kumfanya rafiki utaingia kwa gia ipi..................... sina uhakika sana kwa hili......................
nililo na uhakika nalo ni kumfanya mtu rafiki yako kabla ya vile viapo. na hii nadhani inatokea automatic, sababu mnaanza kama marafiki basi muendelee kuwa marafiki... siyo ukishasema I DO basi unaanza ku-act kama MKE/MUME na siyo kama rafiki. Huwa nachukia sana mtu wangu wa karibu anaponiambia ana shida fulani lakini anaogopa ataanzaje kumwambia MKE/MUME wake. hivi inatokeaje unapotaka kuongea na mwenzio ujione kama unaenda kufanya mtihani? hainiingii akilini
 
Urafiki ktk ndoa ni jambo zuri pia unatengenezwa ktk kujitoa na kujifunza mambo mapya eg, umbea,mitindo,siasa/chadema,uk soccer,magari etc..ila urafiki usipitilize mno, ili majukumu/hadhi nayo yachukue nafasi.. Kitu chochote kikikosa kiasi huwa ni kibaya..
 
Kwa kifupi sana mimi nadhani ni vizuri kuwa vyote viwili. Kuna muda inabidi uwe rafiki wa mke/mume na kuna muda inabidi uhusiano wa mke na mume uchukue nafasi. Hii inakwenda hata kwa watoto yaani kuna muda inabidi watoto wawe marafiki lakini pia kuna muda uhusiano wa mzazi/mtoto lazima uchukue nafasi yake.

Kwa maelezo zaidi click here.
 
kila kitu kifanywe kwa kiasi na kwa kuzingatia heshima, mazingira yaliyopo etc... siyo mko sebuleni na mgeni, mwenza anapita anajamba eti kwa sababu huwa mnataniana....
 
Mnakuwa marafiki kwanza!! Halafu mnakuwa marafiki kila siku!!

 
...kwani tafsiri sahihi ya URAFIKI ni nini?
Isije ikawa kumbe kila mtu ana tafsiri yake.
Mume/Mke na RAFIKI ni vitu viwili tofauti.
Mume/Mke ni 'Rafiki'.....lakini Rafiki sio Mume/ Mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…