Tetesi: Makinikia yameanza kusafirishwa tena?

Kwa taarifa yako mtoa mada km ni dhahabu zinasafirishwa kawaida kabisa, kelele zile walizopiga sjui mareport yalikuwa kwa ajili ya wajinga wengi wasojua undani wake
 
Kwa taarifa yako mtoa mada km ni dhahabu zinasafirishwa kawaida kabisa, kelele zile walizopiga sjui mareport yalikuwa kwa ajili ya wajinga wengi wasojua undani wake
Kwa taarifa ya wote usinibebeshe mimi mzigo.Uzi wa sasa makinikia ni ruksa kusafirishwa kama ni tangu december mbona sijauona humu.
 
Naishi huku karibu na mgodi na nina ndugu zangu wanafanya kazi mgodini, kitambo sana makinikia yanasafirishwa, usafirishaji ulisimama in a less than a year,
Nami nipo kakola mkuu njoo half london tupate bia mida hii then jioni twende Marumba pliz
 
Kwa taarifa ya wote usinibebeshe mimi mzigo.Uzi wa sasa makinikia ni ruksa kusafirishwa kama ni tangu december mbona sijauona humu.
Ndo ujue migodi yote inasafirisha makinikia pamoja na dhahabu ambayo tayari ishachenjuliwa plant.....njoo uku nikuelekeze sasa na hawajawai simama izo shughuli eti kisa mwendazake
 
Hilo kama ni kweli, basi na walaaamiwe waliohusika kuridhia wizi huo uendelee! RIP shujaa wetu mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli 😭, tutakukumbuka daima shujaa wetu, pumzika kwa amani ya milele mahali pema penye raha na mwanga wa milele, amen🙏!
 
Hilo kama ni kweli, basi na walaaamiwe waliohusika kuridhia wizi huo uendelee! RIP shujaa wetu mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli 😭, tutakukumbuka daima shujaa wetu, pumzika kwa amani ya milele mahali pema penye raha na mwanga wa milele, amen🙏!
 
Mbona kama unapata faida makinikia yakisafirishwa?Au ndugu zako wanapata Ganchi?

We ndio mmbea maana umesema hawajasitisha kusafirisha,then unataka picha ya Malori.
kama ganji labda alikula mwendazake aloruhusu yasafirishwe.
 
Uzuri wa laana haipotei angani na ikikosa wa kumpata inarudi kwa aloitoa. Mwendazake ndo aliruhusu yaendelee kusafirishwa. so hiyo laana itakimbilia straight kwa shujaa...mngempumzisha tu.
 
Mimi sioni tatizo as long as yule muuaji katili kauwawa na mafua
 
Uzuri wa laana haipotei angani na ikikosa wa kumpata inarudi kwa aloitoa. Mwendazake ndo aliruhusu yaendelee kusafirishwa. so hiyo laana itakimbilia straight kwa shujaa...mngempumzisha tu.
Huyo aliyeruhusu au atakayeruhusu kusafirisha makinikia na kusababishia hasara kwa taifa la Tz huyo na alaaniwe, na watu wote waseme amen!
 
Kusafirishwa kwenda wapi? Jiwe alisema makinikia yasisafirishwe mpaka hapo itakapojengwa SMELTER hapa hapa nchini; sasa si wamesema SMELTER imejengwa huko Mwanza sasa makinikia yanasafirishwa pengine kwenda Mwanza!!!
 
Ni kweli Mimi toka juzi nmeona tuna safari ndefu Sana
 
Hivi unajua kuwa mkataba wa Twiga gold ulisainiwa wakati wa magu?.....moja ya kipengele kwenye mkataba huo uliruhusu kusafirishwa kwa makinikia?......Mwacheni Mama afanye kazi
 
Tuletee facts mkuu kama huna hiyo ni propaganda,mimi nimeona wakisafirisha wewe unasema tangu zamani wanasafirisha mwaga facts.
Na yeye akisema aliona utakataa???

Unamtaka alete fact ikiwa wew mwenyewe hujaleta fact.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Na yeye akisema aliona utakataa???

Unamtaka alete fact ikiwa wew mwenyewe hujaleta fact.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimeona malori,nimeelezea tetesi zilizopo kuwa ni makinikia.Kwenye tetesi unataka fact zipi?Yeye ana uhakika alete facts!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…