Kuna hii mentality moja TZ kwamba kila anayeanzisha juice Point yake basi kaiga kwa Makjuice nachukizwa sana na hili.
Niwaekeweshe tu: Juice bar zipo kitambo TZ na ni nyingi sana ila Makjuice ni jamaa kapata umaarufu tu kwenye biashara hiyo kwa sababu ya kuji brand na network kubwa aliyon ayo na anayoifanya. Kwa hilo apongezwe, ila juice bar zipo TZ especially DSM tangu yeye yupo anasoma.
Chakuongeza pia Dunia ime exist miaka mingi sana kiasi cha kwamba hakuna tena idea mpya na kwa TZ sasa hivi idea nyingi tunachukua nje.
Mfano, Starbuck ni biashara inayofanya vizuri kwenye soko, sasa hivi inaingiza billions of money. Binafsi nina wazo la kukopi kuifanya TZ ila sina power kwa sasa. Sasa akitokea mwingine mwenye uwezo wa kuifanya akajulikana then Mimi nikija kufanya itakuwa nimeiga kwake.
Hili suala naliona hadi kwa Manara eti kamuiga Diamond sijui mwana FA, jamani viumbe hai idea hizi zipo toka wote humu hatujazaliwa.
Hiyo mifano tu, tuache hii mentality.
Tuache kuishi zama za feudalism TZ dunia inaenda fasta sana.
NB: Upo karne hii na huna ndoto ya kufanya biashara ya kuanzia 100M kwenda juu, nakusalim.
Niwaekeweshe tu: Juice bar zipo kitambo TZ na ni nyingi sana ila Makjuice ni jamaa kapata umaarufu tu kwenye biashara hiyo kwa sababu ya kuji brand na network kubwa aliyon ayo na anayoifanya. Kwa hilo apongezwe, ila juice bar zipo TZ especially DSM tangu yeye yupo anasoma.
Chakuongeza pia Dunia ime exist miaka mingi sana kiasi cha kwamba hakuna tena idea mpya na kwa TZ sasa hivi idea nyingi tunachukua nje.
Mfano, Starbuck ni biashara inayofanya vizuri kwenye soko, sasa hivi inaingiza billions of money. Binafsi nina wazo la kukopi kuifanya TZ ila sina power kwa sasa. Sasa akitokea mwingine mwenye uwezo wa kuifanya akajulikana then Mimi nikija kufanya itakuwa nimeiga kwake.
Hili suala naliona hadi kwa Manara eti kamuiga Diamond sijui mwana FA, jamani viumbe hai idea hizi zipo toka wote humu hatujazaliwa.
Hiyo mifano tu, tuache hii mentality.
Tuache kuishi zama za feudalism TZ dunia inaenda fasta sana.
NB: Upo karne hii na huna ndoto ya kufanya biashara ya kuanzia 100M kwenda juu, nakusalim.