MakJuice ni Upotoshaji unaoota mizizi Tanzania

Makoye Philibert (Mack) ni mtu wa connection sana...ni rafki wa watu maarufu...kiuhalisia biashara ya juice ilikuwa imelala..jamaa kaiamsha..wengi waliifanya kama sub ila yeye aliijengea jina to stand alone bila backup ya soda au chips/chakula..jamaa tulisoma naye ikizu sekondary Musoma karbia shule nzima walikuwa ni marafk zake very social sana mshikaji..ushaur tu kwake ni kuwa biashara sku zote ni kaa chonjo ukilegea kdog tuu wanga wanapita
 
Huyu jamaa sikio linazidi kichwa
Aongee na wahudumu wake
Unajua mmbongo si wa kumuachia biashara,ni lazima akuhalibie bila wewe kujua mapema.Bora ukawa na vituo 2 au kimoja cha biashara na ukaimanage vyema kuliko kuwa na 7 ambapo Wafanyakazi uliowaachia ni wezi na wanakuhalibia brand.Kingine baada ya watu kumuona amefanikiwa ni lazima ushi dani kutoka kwa new comers +graduate wasio na ajira uwepo.
 
Mkuu mrangi,sukari ya nini tena kwenye juisi!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mahali pengine hakuna hayo mabungo so hata juice ya maembe, parachichi nk. nazo ziko poa
 
Nikionacho kwa huyo jamaa atapanic muda si mrefu, biashara itamshinda.Kwasababu kama ni wewe umekuwa mtu wa lawama sana utafikiri ukilaumu watu wataacha. Idea yako ni yako tu, wewe ndiye unaeijua vizuri.
Ndio maana. Ilianza Uber leo watu kibao wameiga, kuna TAXIFY, DIDI CHUXING, MOOVN, LYFT, VAYA na makampuni kibao.

Na yameleta league kali sana kwa UBER lakini bado anakomaa.

Dunia iko hivyo, komaa ni ubunifu tu.
 
Mkuu umechokisema huo ndio ukweli wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa tatizo ni wapi.

Hata siku, kuwa wakwaza haijawahi kuwa jambo PEKEE la kusababisha mafanikio.
References: Tesla vs Edison, Operating Systems, Rockerfeller's Oil Business, Nestle...etc.

Pili, Idea haijawahi kuwa tatizo. Watu wana ideas kibao. Suala ni execution.
Bakhresa hakuwa wa kwanza kwenye chochote kile, lakini mnaona...

Story ya Makjuice ni inspiring tu kutokana na namna alivyoanza na alipofika. Sio kwamba ni wa kwanza au wa pekee.

Mwisho, nasisitiza, execution ndo suala la msingi.
Nzingatieni takwimu za kwamba dunia hii, zaidi ya 95% ya biashara zinazoanzishwa kwa mwaka hufa. Marekani (the land of opportunities) hufikia hadi 99%

Execution ndo everything. Na muda mwingine, Luck.
Kwa hiyo mheshimu mtu yeyote anayesimama na biashara yoyote ile inayomlipa na kwa zaidi ya mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
binasfsi nitaanzisha Togwa na mbege point ni kuboresha tu hakuna kipya wajameni, ila iyo ya stasbuck coffee kwa tz nahis haitofanya vizuri kunajamaa apo alikua na wazo labda mikoa baadhi yenye baridi watu ndo hupendelea kahawa na vitu vya moto moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kuna mkoa watu wanakunywa kahawa kama Dar?
 
Wauzaji wa juice walikuwa wengi hasa maofisini, madukani etc wanadeliver...now namna imebadilika watu wanaopen outlet...ila pili watu wana tabia ya kuiga Hilo huwezi kwepa Wala usilalamike.. Ndio maana baada ya kufungua yeye from bamaga kuja sinza every place juice outlet kibao. Yeye aendelee kumaintain quality na ubunifu zaidi. Kulalamika ni dalili ya kushindwa mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…