marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Awali nilikuwa najiuliza kuwa kama hawa ndio wazungu na ndio inaaminika wao ni binadamu wenye akili kutuzidi! Inakuaje wanashindwa kuona vitu ambavyo viko wazi kabisa kwenye football!?
Vitu ambavyo mtu wa majohe huko ndani ndani na hana hata Leseni F ya FIFA anaona lakini wao hawaoni kuanzia kwenye sajiri mpaka maamuzi kwenye timu.
Nimeshuhudia makocha wengi sana wa Ulaya tena timu kubwa wakifanya maamuzi ambayo kocha Mkombe wa gongo la mboto jeshini hawezi kuyafanya kabisa na hua yana wacost wanafungwa.
Hii hali imenifanya nitamani kujua huko wanako somea ukocha hua wanafundishwa vitu gani vinavyo vina watia upofu kiasi hiki.
Msimu wa 2018-2019 Dunia nzima ilikua inaona kua muokozi wa Tottenaham Hotspurs ni Lucas Moura
kasoro kocha mkuu wakati huo wa Spurs Mauricio Pochetino imagine Dunia nzima iliona hilo kua Lucas alikua form na ndio mhimili muhimu kwenye timu kwa wakati ule, kasoro kocha mwenye grade A ya leseni ya ukocha ya FIFA.
Yeye ndie aliewapeleka nusu fainali pia yeye ndio aliwapeleka fainali alikua wamoto sana ila siku muhimu na ya kipekee ya fainali Maurocio Pechetino akampiga bench aka anza na Harry Kane aliyekuwa majeruhi, ukiuliza kwanini hakuna anayejua.
Hata mashabiki wa Liverpoool walifurahi ile siku kuona Moura haja anza.
Kwenye robo fainali muhimu tena inayo hitaji magoli mengi Kocha mkuu wa Simba SC Tanzania Didier Gomes ana msimamisha Mugalu mbele.
Dakika zote 45 za kwanza Dunia nzima hadi wamama wasio na ufahamu mkubwa wa soka waliona kua mshambukiaji huyo alikua ni mzigo kwa timu cha ajabu Gomez alikua haoni! Hakuona kabisa yani,,,Mugalu akamaliza mpaka dakika 90 wakatupwa nje ya mashindano, ajabu sana hii.
Usiku wa jana Manchester United ilikuwa Poland kwenye fainali ya EUROPA League napo yale yale ya upofu wa makocha nika yashuhudia.
Kwenye footaball kuna Kitu kinaitwa Duo, yani watu wawili wa eneo fulani walio elewana vyema.
Bila shaka na kupepesa macho duo bora ya manchester united msimu huu ni ya Fred na Mc Tominay imefanya vyema sanaa msimu huu Pia kupitia hii Duo imefanya hata Pogba kwenda juu kama kiungo wa pembeni na amekua bora sana kwenye mechi mbili tatu alizo cheza huko huku akikabiwa na duo takatifu.
Wakati Duni ikiona haya Ole yeye alikua kipofu na hakuonaa kabisa hilo, siku ya fanali muhimu anaweka Fred bench na anamrudisha Pogba chini, sasa una baki ushangaaa hawa watu hua hawataki kushinda!?
Baada ya dakika 20 tu! za fainali hii ya Europa kila mtu aliona kua Rashford alikua ni mzigo na hakua na msaada zaidi ya kuchosha wenzake
Hata hili pia Ole alikua kipofu na hakuona. Rasford alimaliza 120 zote! Huku wakitolewa wakina Greenwood na Eric Bailly walio onekana kuwa na msaada zaidi yake.
Kuna maajabu ya upofu wa makocha yanaendelea mpaka yana nifanya nitamani kwenda kusoma ukocha ili nikaone hua wanafundishwa litu gani kinacho watia upofu wa kuto ona vitu vinavyoo onekana bila lenzi!
#Ggmu
Vitu ambavyo mtu wa majohe huko ndani ndani na hana hata Leseni F ya FIFA anaona lakini wao hawaoni kuanzia kwenye sajiri mpaka maamuzi kwenye timu.
Nimeshuhudia makocha wengi sana wa Ulaya tena timu kubwa wakifanya maamuzi ambayo kocha Mkombe wa gongo la mboto jeshini hawezi kuyafanya kabisa na hua yana wacost wanafungwa.
Hii hali imenifanya nitamani kujua huko wanako somea ukocha hua wanafundishwa vitu gani vinavyo vina watia upofu kiasi hiki.
Msimu wa 2018-2019 Dunia nzima ilikua inaona kua muokozi wa Tottenaham Hotspurs ni Lucas Moura
kasoro kocha mkuu wakati huo wa Spurs Mauricio Pochetino imagine Dunia nzima iliona hilo kua Lucas alikua form na ndio mhimili muhimu kwenye timu kwa wakati ule, kasoro kocha mwenye grade A ya leseni ya ukocha ya FIFA.
Yeye ndie aliewapeleka nusu fainali pia yeye ndio aliwapeleka fainali alikua wamoto sana ila siku muhimu na ya kipekee ya fainali Maurocio Pechetino akampiga bench aka anza na Harry Kane aliyekuwa majeruhi, ukiuliza kwanini hakuna anayejua.
Hata mashabiki wa Liverpoool walifurahi ile siku kuona Moura haja anza.
Kwenye robo fainali muhimu tena inayo hitaji magoli mengi Kocha mkuu wa Simba SC Tanzania Didier Gomes ana msimamisha Mugalu mbele.
Dakika zote 45 za kwanza Dunia nzima hadi wamama wasio na ufahamu mkubwa wa soka waliona kua mshambukiaji huyo alikua ni mzigo kwa timu cha ajabu Gomez alikua haoni! Hakuona kabisa yani,,,Mugalu akamaliza mpaka dakika 90 wakatupwa nje ya mashindano, ajabu sana hii.
Usiku wa jana Manchester United ilikuwa Poland kwenye fainali ya EUROPA League napo yale yale ya upofu wa makocha nika yashuhudia.
Kwenye footaball kuna Kitu kinaitwa Duo, yani watu wawili wa eneo fulani walio elewana vyema.
Bila shaka na kupepesa macho duo bora ya manchester united msimu huu ni ya Fred na Mc Tominay imefanya vyema sanaa msimu huu Pia kupitia hii Duo imefanya hata Pogba kwenda juu kama kiungo wa pembeni na amekua bora sana kwenye mechi mbili tatu alizo cheza huko huku akikabiwa na duo takatifu.
Wakati Duni ikiona haya Ole yeye alikua kipofu na hakuonaa kabisa hilo, siku ya fanali muhimu anaweka Fred bench na anamrudisha Pogba chini, sasa una baki ushangaaa hawa watu hua hawataki kushinda!?
Baada ya dakika 20 tu! za fainali hii ya Europa kila mtu aliona kua Rashford alikua ni mzigo na hakua na msaada zaidi ya kuchosha wenzake
Hata hili pia Ole alikua kipofu na hakuona. Rasford alimaliza 120 zote! Huku wakitolewa wakina Greenwood na Eric Bailly walio onekana kuwa na msaada zaidi yake.
Kuna maajabu ya upofu wa makocha yanaendelea mpaka yana nifanya nitamani kwenda kusoma ukocha ili nikaone hua wanafundishwa litu gani kinacho watia upofu wa kuto ona vitu vinavyoo onekana bila lenzi!
#Ggmu