bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Makocha wa kiafrika wakiwezeshwa na kuaminiwa wanaweza kabisa leo umepigwa mtanange pale uwanja wa Mandela Jijini Kampala kati ya mabingwa mara kadhaa wa Afrika Mafarao wa Misri na Misri kuchapwa jumla ya goli moja kwa bila lililotiwa kambani na Mchezaji Emanuel Okwi
Uganda ipo chini ya kocha Mzawa Mosses Basena nafikiri wengi tunamjua keshawahi fundisha Simba huyu huku Misri ikiwa chini ya Kocha mwenye mafanikio makubwa sana ngazi ya Dunia Hector cuper Raia wa Argentina na ukiangalia Kikosi chao kilikua kimeshiba langoni akisimama mzee mzima miaka 44 sasa El Hadary,Huyu Salah ambaye aliwafanya kitu mbaya Arsenal,Elneny...nk ila wamefungwa.
Somo Tuwaamini Makocha wetu wazawa kwani wanauwezo Mkubwa
tu.
Chini ni Kikosi cha Uganda/Uganda Cranes mchezo ulikua ni kutafuta tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia ukanda wa Afrika
hongereni Uganda.
Uganda ipo chini ya kocha Mzawa Mosses Basena nafikiri wengi tunamjua keshawahi fundisha Simba huyu huku Misri ikiwa chini ya Kocha mwenye mafanikio makubwa sana ngazi ya Dunia Hector cuper Raia wa Argentina na ukiangalia Kikosi chao kilikua kimeshiba langoni akisimama mzee mzima miaka 44 sasa El Hadary,Huyu Salah ambaye aliwafanya kitu mbaya Arsenal,Elneny...nk ila wamefungwa.
Somo Tuwaamini Makocha wetu wazawa kwani wanauwezo Mkubwa
Chini ni Kikosi cha Uganda/Uganda Cranes mchezo ulikua ni kutafuta tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia ukanda wa Afrika
hongereni Uganda.