Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Misimu kadhaa iliyopita kuna wakati aliyekuwa kocha wa Simba Robert Oliveira "Robertinho" na kocha wa Yanga Nasridine Nabi walilalamikia wingi wa mechi na umbali ambao wachezaji husafiri baada ya kucheza mechi na kabla ya mechi inayofuata.
Wote wawili walisema umbali na ukaribu wa kati ya mechi na mechi uharibu ubora wa timu.
Sasa tena makocha wa Simba na Yanga wa Sasa, Fadlu Davis na Saed Ramovic wanarudia maoni yale yale ya makocha waliowatangulia.
Jee Kuna ukweli wowote juu ya madai Yao, kama kuna ukweli nini kifanyike?
Nabi alishauri angalau Kila timu iwe inacheza mechi moja tu kwa wiki
Wote wawili walisema umbali na ukaribu wa kati ya mechi na mechi uharibu ubora wa timu.
Sasa tena makocha wa Simba na Yanga wa Sasa, Fadlu Davis na Saed Ramovic wanarudia maoni yale yale ya makocha waliowatangulia.
Jee Kuna ukweli wowote juu ya madai Yao, kama kuna ukweli nini kifanyike?
Nabi alishauri angalau Kila timu iwe inacheza mechi moja tu kwa wiki