Makocha Simba SC wafafanua sub ya Wawa

Makocha Simba SC wafafanua sub ya Wawa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001



Bongo kuna viwanda vya uzushi. Sub ya kocha Pablo mwenyewe lawama kashushiwa Matola, Rweyemamu na Hitimana. Shame on you all. Eti ooh Wawa anajisikiaje?! unadhani Wawa hamnazo?Hajui kocha alikuwa anaokoa point 3 kwa ujinga wa refa?

Kwa msiojua English msikilize Hitimana
 
Sijui kwa nini wachambuzi huwa hawajipi muda wa kutafuta ukweli.
Screenshot_20211225-082618_Chrome.jpg

ona huyu pamoja na uzee wote,ila hana muda wa kutunza heshima
 
daaah jana nimewasikikiza Mawingu Ni aibu sijui wataeemaje leo NI AIBU.... wamepotosha watanzania wangapi kwa ujinga na uchambuzi ule ulioja hisia
 
Hivi ina maana mawingu hawajui kikoloni au maana baada baada ya match pablo alifafanua vizuri ila hawa wachafuzi wanapiga tu domo faken
daaah jana nimewasikikiza Mawingu Ni aibu sijui wataeemaje leo NI AIBU.... wamepotosha watanzania wangapi kwa ujinga na uchambuzi ule ulioja hisia
 
View attachment 2056472
ona huyu pamoja na uzee wote,ila hana muda wa kutunza heshima
Mau ni mbwa kama mbwa wengine.
hivi mkuu unajua kwamba mikono ya waandishi kama huyu jamaa ilisababisha mauwaji ya alaiki nchi mbalimbali Duniani?

yani Maulidi kaamua kabisa kupindisha habari kwa makisudi kabisa!
 
Ata mtetee na kukashfu waandishi, watu wenye akili timamu hawaitaji kujua Sheria za soka ili ku tetea upuuzi alio ufanya kocha.
Kanuni kubwa na ya Kwanza ya Soka Duniani ni FAIR PLAY alicho fanya kocha kutoka Spain hakikutarajiwa kufanywa na kocha wa kariba yake. Ni Kama kocha wa jalalani hivi.
 
Kocha mwenyewe ameelezea vizuri zaidi,wale waliosema matola alikuwa anamuhujumu siyo kweli,refarii ndy kazingua mara mbili

Mihemko!!!
cc:

GENTAMYCINE

 
Ata mtetee na kukashfu waandishi, watu wenye akili timamu hawaitaji kujua Sheria za soka ili ku tetea upuuzi alio ufanya kocha.
Kanuni kubwa na ya Kwanza ya Soka Duniani ni FAIR PLAY alicho fanya kocha kutoka Spain hakikutarajiwa kufanywa na kocha wa kariba yake. Ni Kama kocha wa jalalani hivi.

Utopolo karibu wote katika hili tukio naona mmeamua kutumia neno”fair play” sina uhakika kama hata maana yake mnaifahamu.
 
I wishi I kudu bi Paschal wawa...ningempiga makonde Pablo kwa kunisukuma kiboya mbele ya mashabiki.

Bahati mbaya sana Wawa hawezi kuwa wewe,yule ana jitambua na alimwelewa Kocha ndiyo maana hakuna hilo ulilotaka wewe litokee
 
Back
Top Bottom