Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Ohoooo !!!!Shout out to Team wolves ππππ
Ushahidi unaonyesha kwamba kazi wanayoifanya wanapokuwa makocha wa muda inalenga kushawishi viongozi wawape mikataba ya kudumu .
Santiago Solari ni mfano halisi wa andiko hili , hata huyu Ole Gunnar ( ambaye tayari ameanza kupepesuka ) siku Man wakibugi wakampa mkataba wa kudumu mtaona madudu yake rasmi
sisi kazi yetu ni kutoa ushauri tuMkuu ulisema ukweli, ndio tunashuhudia
Everton 4 vs Man U 0Ole ni mpindua meza maarufu usimfΓ₯nanishe na vitu vya ajabu kwanza atafanya usajili wa akili
heeee ole sendeka atawaua nyie manyuu unitediOle ni mpindua meza maarufu usimfΓ₯nanishe na vitu vya ajabu kwanza atafanya usajili wa akili
Sawa mkuuTuna imani na Ole na tunamtaka apewe mkataba
GGMU
hata ziddane alianza kwa kupewa tu kwa muda.hata makocha wengi huwa wanapewa timu kwa muda baadae ndio wanakuwa wakubwa na kuanza kutengeneza cv na kupaa kiviwango.
kama unayosema yana ukweli basi ni 0.1%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kwel kwel....Zidane alikuwa world class player, na amefanya kazi chin ya world class managers ( Carpelo, Anceloti, Mourinho, Benitez nk) in short alikuwa na uzoefu tu wa kutosha..sio huyu ole , ni bonge la mistake kumpa timu, hata hzo hela za usajil walizomtengea hatzifanyia lolte la maana, hana confidence kweny maamuz na kwa pressure ya man u hataweza lolte , anamtegemea sana fergie kwenye maamuz.....zama zimebadilika sio kila homa ni malaria, Uongozi wa juu na wenyewe una shida wapo kama wacheza kamari....Tatizo ni kubwa sana man uTwende kazi .
Unaendeleje mkuu...Tuna imani na Ole na tunamtaka apewe mkataba
GGMU
Ole Guunner apimwe kuanzia msimu ujao ambao atakuwa amesajili kikosi kazi kwa plan zake sio hiki cha sasa kilichosajiliwa na yule muhuni wa urenoUnaendeleje mkuu...
Masai ndo huyo kashapewa Rungu kama ulivyotaka.
Sawa, natunza maneno yako. Ntarudi msimu ujao kukukumbusha.Ole Guunner apimwe kuanzia msimu ujao ambao atakuwa amesajili kikosi kazi kwa plan zake sio hiki cha sasa kilichosajiliwa na yule muhuni wa ureno
Msimu ujao Ole anachukua EPL & EuropaSawa, natunza maneno yako. Ntarudi msimu ujao kukukumbusha.