Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 144
- 211
Makocha ambao inabidi waheshimiwe kwa kuubadirisha ulimwengu wa soccer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What a real strike again from Nifah on Shabiki Maandazi there?Yani unaacha kumuweka Arsene Wenger aliyemtengeneza George Weah mwenye Ballon D'or unamuweka Ten Hag? Kuweni basi na heshima walau.
Kwanza hata Jurgen Klopp hafai kukaa katika hiyo list, Mourinho ndiye aliyatakiwa kuwepo hapo badala yake.
Niko kuwatania wanangu wa Man U 😅Yani unaacha kumuweka Arsene Wenger aliyemtengeneza George Weah mwenye Ballon D'or unamuweka Ten Hag? Kuweni basi na heshima walau.
Kwanza hata Jurgen Klopp hafai kukaa katika hiyo list, Mourinho ndiye aliyatakiwa kuwepo hapo badala yake.
Afadhali, pressure ilinipanda!Niko kuwatania wanangu wa Man U 😅
Naunga mkono hoja yakoYani unaacha kumuweka Arsene Wenger aliyemtengeneza George Weah mwenye Ballon D'or unamuweka Ten Hag? Kuweni basi na heshima walau.
Kwanza hata Jurgen Klopp hafai kukaa katika hiyo list, Mourinho ndiye aliyatakiwa kuwepo hapo badala yake.
kwa jinsi unavyowajua wachezaji tuanze kubet tu...🤣Yani unaacha kumuweka Arsene Wenger aliyemtengeneza George Weah mwenye Ballon D'or unamuweka Ten Hag? Kuweni basi na heshima walau.
Kwanza hata Jurgen Klopp hafai kukaa katika hiyo list, Mourinho ndiye aliyatakiwa kuwepo hapo badala yake.
PoleeAfadhali, pressure ilinipanda!
Afadhali hata huyo mkikosa zaidi ndani anaweza hata kubet mechi ya yanga mkapata hata mchele kilo mojakwa jinsi unavyowajua wachezaji tuanze kubet tu...🤣
Mwanamama unajua soka kuliko hata Jamaa mleta Post, aiseee aibu sanaa hiiYani unaacha kumuweka Arsene Wenger aliyemtengeneza George Weah mwenye Ballon D'or unamuweka Ten
Mbona sioni makocha wa bara la Amerika kusini inamaana huko hauchezwi mpira?Makocha ambao inabidi waheshimiwe kwa kuubadirisha ulimwengu wa soccer View attachment 3089069
klopp asiwepo,acha mshaharaYani unaacha kumuweka Arsene Wenger aliyemtengeneza George Weah mwenye Ballon D'or unamuweka Ten Hag? Kuweni basi na heshima walau.
Kwanza hata Jurgen Klopp hafai kukaa katika hiyo list, Mourinho ndiye aliyetakiwa kuwepo hapo badala yake.