Makocha wengi kutimuliwa baada ya fainali za wcup2010

Makocha wengi kutimuliwa baada ya fainali za wcup2010

Anyisile Obheli

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2009
Posts
3,400
Reaction score
320
sehemu kubwa ya makocha wa timu zilizofanya vibaya kwenye mashindano yanayoendelea nchini a.kusini watatimuliwa
 
Italy & France walishatangaza makocha wapya kabla hawajenda World Cup.Carlos Pereira,Otto Rehegal,Paul Le Guen wameamua kubwaga manyanga
 
Sauzi wao mkataba na Pereila umekwisha so kocha wa Cameroon nae anatakiwa kuachia ngazi kwa timu yake kutia AIBU AFRICA Hta kupata kapoint kamoja !!
 
Back
Top Bottom