Makocha wenye uwezo lakini wana mkosi wa kuharibu timu

Joined
Dec 27, 2020
Posts
6
Reaction score
10
Wapo makocha wenye mkosi mbaya na wakuchekesha kwa uwezo wanakuwa nao lakini sijui huwa wanakosea mara kwa mara huanza vizuri ila umaliza vibaya

Mimi namtaja Jose Mourinho. Huyo kocha kati ya timu alizoziharibu ni Chelsea Man u
Je mwingine ni nan?
 
We hujui mpira kaiharibu man u wakati katupa Europa kocha gani baada ya Sir aliyetupa ata ngao ya hisani
 
Mou mzuri sana ila in recent years amekutana na timu zinazodidimia ili azikwamue wakati hajazoea
 
Wapo makocha wenye mkosi mbaya na wakuchekesha kwa uwezo wanakuwa nao lakini sijui huwa wanakosea mara kwa mara huanza vizuri ila umaliza vibaya

Mimi namtaja Jose Mourinho. Huyo kocha kati ya timu alizoziharibu ni Chelsea Man u
Je mwingine ni nan?
Rudi kashabikie rede, sidhani kati ya makocha waliopo kama kuna mwenye cv ya Mourinho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…