bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Baada ya kutoka na nyimbo zake kama vile mabinti wa kitanga, Misosi nitoke vipi na kisha kuzimika ghafla, hatimaye Bwana Misosi amerudi upya na Wimbo wake Makofi kwa Magufuli.
Ndani ya wimbo huu bwana Misosi amemsifia Rais jinsi anavyopambana na Rushwa,Uwajibikaji n.k. Nashindwa kuuweka apa ila ukienda blog kama vile Bachema utaukuta.
Ndani ya wimbo huu bwana Misosi amemsifia Rais jinsi anavyopambana na Rushwa,Uwajibikaji n.k. Nashindwa kuuweka apa ila ukienda blog kama vile Bachema utaukuta.