Makolo wekeni akiba ya maneno

Makolo wekeni akiba ya maneno

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Baada ya mechi ya raja casablanca vs vipers kumalizika nimeona makolo wengi wakijitamba kwamba vipers ni wabovu na ndio timu ambayo wanatakiwa kuchukua points 6.

Ukweli ni kwamba vipers sio wabovu kwa kiwango cha kusema makolo nae atajipigia kirahisi rahisi tu ukweli ni kwamba vipers walikutana na timu ambayo imewazidi sana ubora hata makolo mnaemwona vipers mbovu leo hii nendeni morroco mkacheze na wale waarabu nina uhakika mtapewa kichapo kinakaribiana tu walichopewa vipers. Raja casablanca ni next level kwa viwango vya timu zetu za Afrika mashariki.

Makolo wamekua na kasumba mbaya sana ya kupanga matokeo yao kwa mdomo kabla mechi haijachezwa bila kumheshimu mpinzani sasa pale ambapo matokeo yanakuja tofauti ndipo wanaanza vitendo vya kuzomea makocha, kulaumu wachezaji au kung'oa viti uwanjani.

Makolo jengeni utamaduni wa kumheshimu mpinzani. Jueni kila timu inaingia uwanjani kutafuta matokeo. Usiidharau timu ambayo bado haujacheza nayo.

Na sio kwenye mpira tu siku za karibuni makolo wameibuka kwa kasi na kuwa wachambuzi wa sheria na masuala ya mikataba mbaya zaidi mwishoe wanaishia kuumbuka tu. Rage apewe PhD ya heshima.
 
Simba kwa saizi ishavuka stage ya kufungwa bao 5

Simba wakati inatengeneza njia ili ije ifike hapa ilipo ndio ilikutana na zahma kama hizo

But this time around timu zote kubwa zikipangiwa na Simba lazima zikune kichwa

Nyie endeleeni kuruka ruka na makoti ya oversize huko Tunisia, hizo ndio level zenu nyinyi failures

Hata Vipers afungwe 10 bado hamuwezi kujifananisha nao, wao ni bora kuliko nyinyi na ndio maana wanashiriki mashindano ya timu bora.
 
Baada ya mechi ya raja casablanca vs vipers kumalizika nimeona makolo wengi wakijitamba kwamba vipers ni wabovu na ndio timu ambayo wanatakiwa kuchukua points 6.

Ukweli ni kwamba vipers sio wabovu kwa kiwango cha kusema makolo nae atajipigia kirahisi rahisi tu ukweli ni kwamba vipers walikutana na timu ambayo imewazidi sana ubora hata makolo mnaemwona vipers mbovu leo hii nendeni morroco mkacheze na wale waarabu nina uhakika mtapewa kichapo kinakaribiana tu walichopewa vipers. Raja casablanca ni next level kwa viwango vya timu zetu za Afrika mashariki.

Makolo wamekua na kasumba mbaya sana ya kupanga matokeo yao kwa mdomo kabla mechi haijachezwa bila kumheshimu mpinzani sasa pale ambapo matokeo yanakuja tofauti ndipo wanaanza vitendo vya kuzomea makocha, kulaumu wachezaji au kung'oa viti uwanjani.

Makolo jengeni utamaduni wa kumheshimu mpinzani. Jueni kila timu inaingia uwanjani kutafuta matokeo. Usiidharau timu ambayo bado haujacheza nayo.

Na sio kwenye mpira tu siku za karibuni makolo wameibuka kwa kasi na kuwa wachambuzi wa sheria na masuala ya mikataba mbaya zaidi mwishoe wanaishia kuumbuka tu. Rage apewe PhD ya heshima.
Lazima uweweseke.Vipers si waliwafunga Utopolo 2 mtungi Uwanja wa Mkapa! Hivyo huwezi kuwabeza.
 
Kila mtu kati ya Simba na Yanga wako kwenye mashindano..hivyo,kila mtu aongelee ya kwake..kama Simba anaongea au ana chambua timu zilizo kwenye kundi lake shida iko wapi...na nyie ongeleeni yetu.
 
Umepata ajira au bado unazunguka kwenye vikao vya kahawa kuzungumzia usichokijua?Siku shemeji yako akikutimua ndio utapata akili.
 
Lazima uweweseke.Vipers si waliwafunga Utopolo 2 mtungi Uwanja wa Mkapa! Hivyo huwezi kuwabeza.
Kushinda na kufungwa ni matokeo ya mpira. hao unawaita utopolo walikufanya nini ngao ya hisani?
 
Yanga ipo hatua gani na imemfunga nani mara ya mwisho yanga kuingia hatua ya makundi ilikuwa miaka karibia 30 iliyopita inawezekana pia mleta mada hujazaliwa au ulikuwa mdogo sana.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Umepata ajira au bado unazunguka kwenye vikao vya kahawa kuzungumzia usichokijua?Siku shemeji yako akikutimua ndio utapata akili.
Ajira rasmi bado sijapata mkuu ila najishughulisha vidili viwili vitatu vya kunisogezea siku na wala siishi kwa shemeji. Nipo geto sio sehemu ya luxury kama unayoishi mwenzangu ila angalao napata usingizi baada ya miangaiko ya siku nzima.. kama kuna mchongo upande huo tupeane connection mkuu.
 
Ajira rasmi bado sijapata mkuu ila najishughulisha vidili viwili vitatu vya kunisogezea siku na wala siishi kwa shemeji. Nipo geto sio sehemu ya luxury kama unayoishi mwenzangu ila angalao napata usingizi baada ya miangaiko ya siku nzima.. kama kuna mchongo upande huo tupeane connection mkuu.
Shughulika na mambo yatakayobadilisha maisha yako.Kama huna stable life hilo ndio liwe lengo sio kupoteza wakati. Wenzako wanafanya kama hobby.Una elimu au ujuzi upi?
 
Shughulika na mambo yatakayobadilisha maisha yako.Kama huna stable life hilo ndio lite lengo sio kupoteza wakati. Wenzako wanafanya kama hobby.
Nafanya ivyo mkuu. Na pale ninapopata muda kidogo ndio natuliza akili kama kupitia mitandaoni kama hivi. Siwezi kufanya lazi masaa 24 ya siku maana mwili na akili vinahitaji kupumzika. Masuala ya kishabiki usichukulie personal sana kiasi cha kufikia hatua ya kumdhiaki mtu kwamba anakula na kulala bure kwa shemeji. Kupigana vijembe na tambo za hapana pale ndio nguzo za utani wa jadi. Elimu nimesomea diploma in procurement and logistic management na pia nikajiendeleza kwa kusomea bachelor in business management
 
Makolo maneno mengi mengi hautawaweza japokuwa umeongea ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom