Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
kifo cha Thomas Mashali kinasikitisha sana .
ukweli ni kwamba nilichosikia ni kwamba huu umeme wa REA kule Kwembago udongo wake sio sawa na migomba ya Tukuyu,
Hata hivyo mikutano ya kisiasa iliyopigwa marufuku kuna uwezekano kwamba Bodi ya mikopo imechangia tatizo la uhaba wa sukari maeneo ya mafinga na Lukozi ukizingatia kwamba kipindi cha uchaguzi tuzo za wasanii kama Diamond au Ally Kiba au Shiza kichuya hazionekani live kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV
Naipenda Sana Jf kama vp Ngoja Jifungue Accnt ya Jf [emoji23][emoji23][emoji23]
ukweli ni kwamba nilichosikia ni kwamba huu umeme wa REA kule Kwembago udongo wake sio sawa na migomba ya Tukuyu,
Hata hivyo mikutano ya kisiasa iliyopigwa marufuku kuna uwezekano kwamba Bodi ya mikopo imechangia tatizo la uhaba wa sukari maeneo ya mafinga na Lukozi ukizingatia kwamba kipindi cha uchaguzi tuzo za wasanii kama Diamond au Ally Kiba au Shiza kichuya hazionekani live kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV
Naipenda Sana Jf kama vp Ngoja Jifungue Accnt ya Jf [emoji23][emoji23][emoji23]