Makomandoo 60 wa Ukraine wafanya shambulizi la kushtukiza kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

Makomandoo 60 wa Ukraine wafanya shambulizi la kushtukiza kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Marekani yaripoti kuwa makomandoo 60 wa Ukraine leo asubuhi wamejaribu kufanya shambulio la ghafla la kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia uliopo Ukraine unaomilikiwa na majeshi ya Urusi toka mwezi March. Urusi imewanywa wotee.

Jaribio hilo lililofeli limefanyika wakati wataalamu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia (International Atomic Energy Agency (IAEA)) wakijiandaa kuutembelea mtambo huo wa nyuklia mkubwa zaidi barani Ulaya kushuhudia uharibifu uliofanywa na mashambulizi ya majeshi ya Ukraine dhidi ya mtambo huo.

Pia rejea: Marekani na Zelensky wailalamikia Urusi kuiondoa Kyiv kwenye mgao wa umeme toka kwenye mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia
====
SmartSelect_20220901-101332_Chrome.jpg
SmartSelect_20220901-101352_Chrome.jpg
SmartSelect_20220901-101410_Chrome.jpg
 
Makomandoo 60 wa Ukraine wamejaribu kufanya shambulio la ghafla la kuukamata mtambo wa nyuklia wa Zaporizhzhia uliopo Ukraine unaomilikiwa na majeshi ya Urusi toka mwezi March. Urusi imewanywa wotee...
Huu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu ,hizo habar ni upotoshaji mkubwa ,pia uelewe Russia wameweka kambi kubwa hapo ina wanajeshi zaid ya 2000 wakiwemo snipers, makomando,na attaching team ,huo ujinga Ukraine hawez Fanya
 
Huu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu ,hizo habar ni upotoshaji mkubwa...
Dogo kwani umeshikiwa bunduki usome habari toka chanzo hicho cha RT News?!

Nenda kasome habari toka TBCs za Marekani ambao hawapo hata vitani...

Tuliza mshono wako, usinipangie vyanzo vya kuchukua habari...
 
Huu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu...
Nashukuru Mkuu umesema vile nilitaka sema,Yani wakaguzi wa UN ndo wametua halafu eti Ukraine ndo iandae kikosi kukamata hicho kinu cha nyuklia plus kuna wanajeshi na zana kibao za kijeshi za Urusi kuzunguka huo mtambo hao makomandoo wasingetosha kwenye operation ngumu kama hiyo.

Russia anaongopa mpaka anapitiliza sasa[emoji23] kuna propaganda halafu kuna propaganda za kirashia
 
Huu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu ,hizo habar ni upotoshaji mkubwa ,pia uelewe Russia wameweka kambi kubwa hapo ina wanajeshi zaid ya 2000 wakiwemo snipers, makomando,na attaching team ,huo ujinga Ukraine hawez Fanya
Hii itakuwa idea ya USA. Walikuwa wanafikiria Russia watakuwa wapo wanconcentrated kutazama msafara wa wakaguzi alafu wao wafanye yao. Sasa imekula kwako 🤣🤣🤣🤣
 
Haya sasa, tulia tuliii sindano isikukatikie....nasukuma dawa mbadala [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]ulizoomba na unazozipendelea toka Marekani (The U.S. News) na Uingereza (Reuters)...

View attachment 2341757View attachment 2341758
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo habari waliyotoa haitofautiani na wanazoongopa kila siku. Au Ile ya kuua wanajeshi 1000 wa Ukraine halafu wao hawajapoteza Mtu
IMG_20220901_102943.jpg
IMG_20220901_102957.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo habari waliyotoa haitofautiani na wanazoongopa kila siku. Au Ile ya kuua wanajeshi 1000 wa Ukraine halafu wao hawajapoteza MtuView attachment 2341767View attachment 2341768
Dogo mbona unakuwa na uwelewa finyu hivyo?! Hivi ulitegemea Marekani ikubali kuwa Urusi ameziangamiza HIMARS zake halafu biashara yake idode?

Kwa taarifa yako hata Pro-Ukraine wenyewe wameripoti kuwa asilimia 60 ya HIMARS za Marekani zilizoingizwa Ukraine zimeharibiwa na Urusi. Na hiyo imeripotiwa na mwanachama wa NATO, Bulgaria 🇧🇬

Tujaalie HIMARS zote zipo intact, mnashindwa nini sasa kukomboa mikoa na miji yenu toka June (miezi miwili imepita sasa) toka mlipopokea HIMARS (game changer 🤣🤣😂😂😄😄😇😇)
====


Screenshot_20220901-103517_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20220901-103621_Samsung Internet.jpg

 
Dogo mbona unakuwa na uwelewa finyu hivyo?! Hivi ulitegemea Marekani ikubali kuwa Urusi ameziangamiza HIMARS zake halafu biashara yake idode?

Kwa taarifa yako hata Pro-Ukraine wenyewe wameripoti kuwa asilimia 60 ya HIMARS za Marekani zilizoingizwa Ukraine zimeharibiwa na Urusi. Na hiyo imeripotiwa na mwanachama wa NATO, Bulgaria [emoji1058]

Tujaalie HIMARS zote zipo intact, mnashindwa nini sasa kukomboa mikoa na miji yenu toka June (miezi miwili imepita sasa) toka mlipopokea HIMARS (game changer [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji56][emoji56])
====


View attachment 2341786View attachment 2341788
Hahahaha kwahiyo Yale Makombora ya HIMARS yanayoshuka kwenye kambi za Urusi kule Kherson na Crimea yanatoka wapi?!

Itakua Russia wameharibu zile Himars za mbao ambazo Ukraine walizingeneza kuwafool warusi wakati Himars original zikipiga mzigo

https://www.google.com/amp/s/amp.th...-lure-russia-into-wasting-its-missiles-report

Wanaharibu mabao halafu Shoigu anakuja kutudanganya kwenye TV[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20220901_110404.jpg
 
Dogo mbona unakuwa na uwelewa finyu hivyo?! Hivi ulitegemea Marekani ikubali kuwa Urusi ameziangamiza HIMARS zake halafu biashara yake idode?

Kwa taarifa yako hata Pro-Ukraine wenyewe wameripoti kuwa asilimia 60 ya HIMARS za Marekani zilizoingizwa Ukraine zimeharibiwa na Urusi. Na hiyo imeripotiwa na mwanachama wa NATO, Bulgaria [emoji1058]

Tujaalie HIMARS zote zipo intact, mnashindwa nini sasa kukomboa mikoa na miji yenu toka June (miezi miwili imepita sasa) toka mlipopokea HIMARS (game changer [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji56][emoji56])
====


View attachment 2341786View attachment 2341788
Kazi ya Himars hiyo Jana,S300 na S400 zimebaki tu kudaka inzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Huu mtandao wa kurusha propaganda za Russia nimeuchoka ,ule mtambo huwez Fanya uvamiz wakati unajua fika wakaguzi wa UN ndio wametia timu ,hizo habar ni upotoshaji mkubwa ,pia uelewe Russia wameweka kambi kubwa hapo ina wanajeshi zaid ya 2000 wakiwemo snipers, makomando,na attaching team ,huo ujinga Ukraine hawez Fanya
Chanzo cha taarifa ni reuters ambalo ni shirika la utangazaji la UK, ndio reporters wa BBC
 
Hahahaha kwahiyo Yale Makombora ya HIMARS yanayoshuka kwenye kambi za Urusi kule Kherson na Crimea yanatoka wapi?...
Hivi waelewa maana ya "kuharibiwa 60% ya HIMARS" wewe?

Btw: Tujaalie HIMARS zote zipo intact, mnashindwa nini sasa kukomboa mikoa na miji yenu toka June (miezi miwili imepita sasa) toka mlipopokea HIMARS (game changer
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji1.png
emoji1.png
emoji56.png
emoji56.png
)

 
Back
Top Bottom