Uchaguzi 2020 Makonda akipitishwa, Bashiru na Polepole mjiuzulu

Uchaguzi 2020 Makonda akipitishwa, Bashiru na Polepole mjiuzulu

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.

Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
 
Labda sema Bashiru anaweza kujiuzulu, siyo Polepole maana kama alikubali kula matapishi yake kwa kukubali kuteuliwa u-DC, wakati alikuwa mstari wa kwanza kuupinga utaratibu wa kuwepo vyeo vya u-DC.
Wew uilkula nini kinyesi au maana ndo watu mliomtukana edo mpka basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana la kujitetea. Watasema ile “tamaa ya madaraka” walimaanisha kwamba huwezi kuendelea kuwa RC huku ukiwa umetia nia. As long as Bashite kaachia uRC, hana tamaa😊. CCM ni wabobezi kwenye mambo ya kupiga u-turn highway
 
Ngoja tuone nini kitatokea, maana waswahili wanasema "ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya" naona kashapewa jina baya la mroho wa madaraka
 
Hata asipopitishwa halafu akateuliwa nafasi nyingine sitawaelewa,anaweza asipitshwe halafu akawa mbunge wa kuteuliwa hatimaye waziri
 
Back
Top Bottom