Pompeo alishatuambia Bashite anawanyima watu haki ya kuishi( ANAUWA WATU) Over.Hapa wanapimana ubavu. JPM alimtosa Nape sababu ya DAB, nadhani ndo kitakachowapata hawa jamaa wawili.
Makonda ni kijana mpendwa mbele ya macho ya Mkulu. Watakuja kula maneno yao na kuaibika tu.Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Tofauti na wa kwenu ilaUchawi ni sayansi!
U turn kwenye zebra linesWana la kujitetea. Watasema ile “tamaa ya madaraka” walimaanisha kwamba huwezi kuendelea kuwa RC huku ukiwa umetia nia. As long as Bashite kaachia uRC, hana tamaa[emoji4]. CCM ni wabobezi kwenye mambo ya kupiga u-turn highway
Mawia.Ebu wacha vichekesho vya futuhi, Makonda nini anacho kifahamu?
Kwa maono yangu, Bashiru na Pole2 hawatendi haji. Wamekosa uthubutu wa kujiuliza sababu za wateule wa rais kukimbia na kwenda kugombea. Wamekosa Job satisfaction kwa nafasi walizokuwa nazo. Wanadhani kuwa ukuu wa mkoa ni hoja nzito No. Hoja nyingine ambayo ningeomba waangalie ni Job security. Mteule hajiamini kabisa. Haji ya kesho yakoje. Tumbua tumbua imepunguza security ya ajira zao. Kuwatuhumu ati wana tamaa ni matusi. Na mwisho nawaomba wazingatie uhuru wa mtu kuamua anachotaka. Uhuru wa kufanya atakalo. Maneno ya viongozi hao ni kuminya demokrasia ya mtu binafsi na ikiendelea itaota mizizi na kuvuka hata kwenye chama hawala. Usiku wa kuweka skiba ya maneno ni muhimu.Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Hao hawatajiurulu ng'o watakuja na cover story nyingineKatika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Thubutuu...Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?
Asante sana mkuu, ila kama huyu mtu atapewa uwaziri basi ndiyo niataamini kuwa kila mtu ana mjanja wake.Mawia.
Huyu makonda ndio master mind wa mission zote za meko.
Kwa hio anajua Hadi chumbni kwa meko.
Meko ana ndimi mbili. Bashite asingeachia ukuu w mkoa kama meko asingemhakikihia uwaziri
Nimesikia jina Kihiyo kati ya watia nia sijui Temeke au Ilala, ndiye yule yule au mwingine.?...na akimpitisha tutampinga mahakamani kwa kufoji vyeti, huyu atakuwa kama kihiyo aliyevuliwa ubunge temeke miaka ileee.
Alafu Bashiru na polepole hawajawahi kupitia hata uvccm,walikuwa ni wanahalakati.Makonda anaijua CCM kuliko Bashiru na Polepole.
Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe 24 bwashee na hao ni wawili tu!
tatizo mkuu hao watu hawana mshipa wa aibu hata chembe!Katika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?