Bila kumuongelea hamupati usingizi.. [emoji16]
Kiongozi munaye mupenda sana sana.. bila kusikia yake.. hamutulii.. najua mungekuwa na nafasi.. ya kumpa kura.. mungemmwagia teletele..
Sema ..... ...eeeee [emoji2]
Mchakato ukiwa fair, Makonda akashinda, kunahaja gani ya kujihudhuru! Au mie sielewi maana ya democrasia! Msiwape presha viongozi wetu kirejareja namna hii!
Hivi nape amechukua fomu sijamsikia kabisa,,,,,
Umeguswa mumeo kuongelewa?
Endelea kumpigania[emoji2][emoji2][emoji2]
Kumbe bado unaniota.. mie ambaye sio.. pole yako..
sayansi? sayansi haina kigeu geuHahahaaaa! Subiri uone matokeo ya kura za maoni.
Siasa ni sayansi!
Hata akichukua lazima akatwe au anyimwe Wazamini. Washaweka Kikaragosi chao cha mazingaombwe ya kura za maoni Mpoki wa Ze Comedy.Hivi dr.ngungulile hajachukua fomu?
Hizo ni kelele za chura!Ndiyo washapewa pressure sasa jinyonge
Kumbe bado hujaelewa siasa za ccm,Ebu wacha vichekesho vya futuhi, Makonda nini anacho kifahamu?
Na ndio maana hawatampitisha kwa kuofia hilo....na akimpitisha tutampinga mahakamani kwa kufoji vyeti, huyu atakuwa kama kihiyo aliyevuliwa ubunge temeke miaka ileee.
Unazani Mwenyekiti ni Chizi kuwateua hao watu ,,anawajua they Will do any thing anachotaka Mwenyekiti wao ni vipaza sauti tuu,kwa misimamo yao ya awali,walipaswa kukataa hata hizo teuzi walizo nazo sasaKatika hili sakata la kukemea tamaa za madaraka wanalokemewa wanaotaka Ubunge, hasa Makonda na wengine, hawa kina Bashiru na Polepole wamekuwa mbele mno hadi kusema wanayoyasema. Ndo Mwenyekiti wao anayasema.
Sasa ikitokea Mwenyekiti wao kawageuka, na hao 'wenye tamaa ya Madaraka wamepitishwa', naona la maana watakalolifanya ni kujiuzulu; vinginenevyo wataweka wapi sura zao? Tutawaamini vipi wakija kusema mengine kuwa Mwenyekiti kasema?