Ile ya kumbembeleza Wema aje Kia haikumshushia mtu heshima !?Vitu Vngne Ni Bora Kukaa Kimya Unajishushia Heshma Km Kiongoz
Umeona eeeeeVitu Vngne Ni Bora Kukaa Kimya Unajishushia Heshma Km Kiongoz
baada ya hapo tunaomba vyeti, please!RC Makonda ameandika kwenye Instagram yake akimwambia Zari kuwa ana uwezo mkubwa wa kupita kwenye dhoruba na akaendelea kubaki imara na kuendelea kupata heshima kutoka kwa familia yake.
RC Makonda kaandika ”Thamani yako kwangu bado ni kubwa sana, kwani uwezo wako wa kupita kwenye dhoruba na ukabaki imara na familia yako unaendelea kukupa heshima.”
View attachment 591670
Vitu Vngne Ni Bora Kukaa Kimya Unajishushia Heshma Km Kiongoz