Pre GE2025 Makonda anafanya kila jitihada kuikoa CCM na amegundua Watanzania wa leo siyo wa jana lakini viongozi wengine wako Usingizini!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kichwa cha thread kinajieleza

Ukifuatilia utendaji wa Makonda kwa sasa utatambua Kuwa ameujua Ukweli

Watanzania hadi vijijini wameshaamka ila bado Watu wa DSM ndio wamekariri maisha ya Uchawa

Makonda atarudi kuiongoza CCM muda si mrefu Ili Chama kipate Mtu wa kumkabili Ni Yeye, mwenyekiti mpya wa Chadema

Mlale Unono πŸ˜€πŸ˜€πŸŒŸ
 
Jo sasa wewe wa dar unakubalije kulala wakati wa mkoa wapo macho kitambo😁
 
Kwa hiyo watu wa dar ndio mazuzu eti?
 
Kwa taratibu bila fujo mara paap!.
 
Makonda anaijua sanaa ya siasa. Atafanikiwa kupiga hela CCM
 
Makonda amejifunza kitu kwa Magu, anajua wa Tanzania wanachotaka.

Anajua umaskini wa nchi hii unasababishwa na wahuni, mafisadi wapenda rushwa na kubebana.

Fikiria mkurugenzi anaitisha press, anaulizwa nanikakutuma uitishe press anamtaja kiongozi wa mkoa mwingine.

Arusha nimfano tu wa jinsi watu wanavyo piga hii nchi bila huruma.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kichwa cha habari yako chajieleza. Kumbe jahazi limezama NUTA jazzy. Nimwokoe nani.🀣🀣🀣🀣 kamata ulanzi natangulia kaunta kulipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…