Makonda aongeza saa moja katika usiku wa tigo fiesta Dar

Bro umeelezea vizuri sana big up xn
 
Hii ni baada ya kutembelea kituo cha utangazaji cha clouds media na kuwapa pole kwa tukio lililowapata jana, kabla ya kuondoka akawaambia kua ameongeza saa moja zaidi hivyo badala ya saa sita mwisho itakua saa saba
Kweli huyo ni Rais wa Dar,sheria ipo chini ya Bashite anachoamua ndicho kinafanyika pasipo kujali kuna sheria,hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini siyo kutumia mamlaka aliyonayo kunyanyasa wengine na kulipiza kisasi,hilo linawezekana tu kwa Nchi ambayo viongozi wake hawafuati sheria na hawazingatii kama Tanzania,lakini ingekuwa sheria inafuatwa Bashite asingekuwa na kiburi cha kulipiza kisasi,sheria ingekuwa inawalinda aliokosana nao,na ni dhahiri pia kwa makosa aliyoyafanya kukivamia kituo cha Runinga cha Clouds angelikuwa kaishaondolewa na angekuwa na kesi ya kujibu Mahakamani kwa kutumia madaraka yake vibaya lakini kwa sababu ni utawala unaolea viongozi watenda maovu kama Bashite hilo halionekani kama ni tatizo,wenye akili wanaona ni tatizo lakini wapumbavu wanaona siyo tatizo na wanaunga upuuzi wa Bashite,siku zote naamini hakuna ajuaye kesho na hakuna mwenye miadi na Mungu,muhimu atujalie uzima
 
Clouds na huyo mkuu wa mkoa wanawachezea akili watanzania.. Endeleeni kuwapa kiki!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Mtakula chakula ninachopika Mimi.
 
Kama sheria inataka music upigwe mwisho saa 6 kamili usiku, huyu bwana anatoa wapi mamlaka ya kuongeza saa moja? "Upsurging constitutional powers...."
unapoteza muda mkuu, lala tu

akisoma post yako anabadilika
 
Unasifia ujinga,Ruge mwenyewe clouds 360 amemuita makonda kama beki mkabaji,yaani fitina mwanzo mwisho!Halafu katika sheria ya basata,kufanya event kama fiesta kwenye uwanja Wa wazi mwisho ni saa 7!So hajaongeza kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…