Makonda apigiwa shangwe mapokezi Taifa stars

Makonda apigiwa shangwe mapokezi Taifa stars

sitaki kuamini if mpaka leo hii watu wananunuliwa..slave trade
 
Ndo kawaida ya masisiemu lakini, hayana haya hata kidogo..
 
Yaani wachezaji wamenuna kwa kufungwa, wanakuta watanzania wanawapokea kwa vigelegel, ndio maana samattta aliamua kusepa peke yake anajua akili za Bashite anaweza wapeleka beach wakapige picha za ukumbusho.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Yaani wachezaji wamenuna kwa kufungwa, wanakuta watanzania wanawapokea kwa vigelegel, ndio maana samattta aliamua kusepa peke yake anajua akili za Bashite anaweza wapeleka beach wakapige picha za ukumbusho.
Yaani wachezaji wamenuna kwa kufungwa, wanakuta watanzania wanawapokea kwa vigelegel, ndio maana samattta aliamua kusepa peke yake anajua akili za Bashite anaweza wapeleka beach wakapige picha za ukumbusho.
AhSANTENI KWA USHIRIKI
 
Hamjaniona hapo,nilikuwa mstari wa mbele kuishangilia timu yetu ya Ccm Stars.......
 
Tubelibwa hefu saba saba sa kubika mapofi habo uvanjani, hathujahenda bwure weve...
 
Back
Top Bottom