Makonda azua balaa kitaa

Aaaah hivi ni dar pekee au tz nzima


yes bishoo haswaaa
 
Ningemuona wa maana kama angeshusha bei ya vyakula...ila yeye kakimbilia kwenye pombe, moja ya kilevi kinachomkasirisha Mungu, na ndio maana mabalaa yanatutokea kila mahala, mafuriko, vimbunga, na hata baadhi za sehemu mvua zinagoma kunyesha.
 
Ningemuona wa maana kama angeshusha bei ya vyakula...ila yeye kakimbilia kwenye pombe, moja ya kilevi kinachomkasirisha Mungu, na ndio maana mabalaa yanatutokea kila mahala, mafuriko, vimbunga, na hata baadhi za sehemu mvua zinagoma kunyesha.


Alafu anajitanabaisha yy ni msabato..labda msabato aloasi kama mie
 
Kila mtu na imani yake...yangu mm ineandika ni dhambi
Kuna mida nahisigi dhambi za vyakula na vinywaji zinategemeana na maeneo na mazowea...
Mirungi Tanzania dhambi ila Kenya na Somalia sio dhambi..
Bangi nchi zingine dhambi ila nchi zingine sio dhambi na ni dawa.
Wanyama kama ngamia, nguruwe, mbwa n.k maeneo mengine haramu ila kwingine ni halali
Pombe madhehebu mengine tena ya dini moja ni dhambi naengine si dhambi....
This world buanaa..
Safari ya kiimani si ya kuigana kwakweli kila mmoja ana safiri kivyake akipambana na changamoto zake.

Nokia kitochi a.k.a mulika mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…