NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
Na wewe umeshindwa kukingeza kiongoziPicha hizo zote ni za mwaka jana nyingine mwaka juzi
Umelipia hili tangazo?Baada ya kutangaza vinywaji vyote nusu bei kwa masaa sita watu hawakulala kutafuta fulsa
Nashuri siku nyingine aseme mchele na unga nusu bei maana si kwa kujimwagia huku View attachment 1053968View attachment 1053969View attachment 1053970View attachment 1053971
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningemuona wa maana kama angeshusha bei ya vyakula...ila yeye kakimbilia kwenye pombe, moja ya kilevi kinachomkasirisha Mungu, na ndio maana mabalaa yanatutokea kila mahala, mafuriko, vimbunga, na hata baadhi za sehemu mvua zinagoma kunyesha.
Hivi ni msabato? Mbona huwa anaenda kanisani jumapiliAlafu anajitanabaisha yy ni msabato..labda msabato aloasi kama mie
Hivi ni msabato? Mbona huwa anaenda kanisani jumapili
Kwani pombe dhambi?Wazaz wake ni pure sabato...na yy pia..sema kama amehama
Kwani pombe dhambi?
Makonda anaendaga kanisani jumapili aombewe kumbe ni wa jumamosi doh!
Nokia kitochi a.k.a mulika mwizi
Kuna mida nahisigi dhambi za vyakula na vinywaji zinategemeana na maeneo na mazowea...Kila mtu na imani yake...yangu mm ineandika ni dhambi