Makonda (Bashite )anatumika kuhamisha mjadala wa gorofa kuporomoka Kariakoo

Makonda (Bashite )anatumika kuhamisha mjadala wa gorofa kuporomoka Kariakoo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Watanzania, msikubali kufanywa wajinga kwa mtu mmoja kuhamisha mjadala unaohusu maisha ya watu na kuwaletea vihoja vyake ili mvijadili na muache hoja za msingi zinazohusu maisha ya watu na utayari wa serikali kwenye matukio kam,a haya.

Waandishi wa habari na nyie kazi kwenu ipi iwe ni habari kuu kati ya matamshi ya Bashite na yanayoendelea huko Kariakoo.

Jiulizeni siku zote alikuwa wapi?

Kwanini leo na si jana au juzi?
 
Watanzania, msikubali kufanywa wajinga kwa mtu mmoja kuhamisha mjadala unaohusu maisha ya watu na kuwaletea vihoja vyake ili mvijadili na muache hoja za msingi zinazohusu maisha ya watu na utayari wa serikali kwenye matukio kam,a haya.

Waandishi wa habari na nyie kazi kwenu ipi iwe ni habari kuu kati ya matamshi ya Bashite na yanayoendelea huko Kariakoo.

Jiulizeni siku zote alikuwa wapi?

Kwanini leo na si jana au juzi?
Ajali isingetokea nyie CHADEMA mngekuwa mnaongelea nini?
 
Mbona Bashite toka wiki jana hii press yake alikua anaifanyia promo
 
Watanzania, msikubali kufanywa wajinga kwa mtu mmoja kuhamisha mjadala unaohusu maisha ya watu na kuwaletea vihoja vyake ili mvijadili na muache hoja za msingi zinazohusu maisha ya watu na utayari wa serikali kwenye matukio kam,a haya.

Waandishi wa habari na nyie kazi kwenu ipi iwe ni habari kuu kati ya matamshi ya Bashite na yanayoendelea huko Kariakoo.

Jiulizeni siku zote alikuwa wapi?

Kwanini leo na si jana au juzi?
We people, reasonable ones, can handle several situations simultaneously...hakuna wa kutoka kweye reli
 
Hili lilipangwa muda sana,Acheni kupenda vitu simple simple na kuconect dots kitotoo.
 
Kweli akili za watawala siku zote nikuamisha hoja muhim pale wanapoboronga, tuko kwenye maombi ya ndugu zetu watu wanakuja na drama za kipuuzi, alishindwa nini kuyasema mapema
 
Kweli akili za watawala siku zote nikuamisha hoja muhim pale wanapoboronga, tuko kwenye maombi ya ndugu zetu watu wanakuja na drama za kipuuzi, alishindwa nini kuyasema mapema
Ameshajua akili zetu zilivyo.
 
TUNGEWEZA KUTUMIA HATA NJIA YA ASILI YA UOKOAJI.

TUNGEPANGA MISTARI KUMI,
WENGINE WANAJAZA UDONGO KWENYE NDOO.
WENGINE KWENYE FOLENI TUNAJAZA MALOLI 200 MENDE.

NDANI YA MASAA KUMI KUSINGEKUWA NA KIFUSI. WATU WOTE WALIOFUKIWA WANGEOKOLEWA.

SELIKALI INASHINDWA KUNUNUA MITAMBO YA UOKOZI.

NI LAANA KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KUENDELEA KUISHI TANZANIA
 
Back
Top Bottom