Pre GE2025 Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kesho ambayo kitaifa yatafanyika mkoani Arusha, leo Ijumaa Machi 7, 2025 nyama choma italiwa bure.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.

Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.

Your browser is not able to display this video.
Pia, Soma
 
Rais na Serikali yake wameamua kucheza na akili za Watu wa Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu, yaani wameona nyama choma ndo mahitaji muhimu ya Wana Arusha, hakika inasikitisha
 
Ni wakati wako huu Makonda . Fanya chochote unachokitaka hakuna wa kukupangia ndani ya hii Nchi , hata sa100 anabariki yote hayo unayoyafanya....


Nchi ya wajinga hii.
Kwakweli
 
ujinga wa ng'ombe huo kyuma yake kufanya ngazi ya mafi vijana fanyeni kazi mchome nyama kwa pesa zenu kwani sh ngapi,Tumbo linaponza tako
 
Saa Moha Na Madakika Natarajia Kuwasili Clock Tower Center City Nikatafune Kidogo Nyama Choma+Juisi Ya Ukwaju Baada Ya Iftar Ya Jioni,,Sitaki Jivisha Ukiritimba Katika Hili Kwa Kweli!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…