Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.
Ng’ombe zaidi ya 400 pamoja na mifugo mingine imechinjwa na kuchomwa ili kumpa fursa kila Mwananchi atakayefika katika eneo hilo kufaidi huduma hiyo isiyo na malipo.
Rais na Serikali yake wameamua kucheza na akili za Watu wa Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu, yaani wameona nyama choma ndo mahitaji muhimu ya Wana Arusha, hakika inasikitisha
Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.
Mpaka sasa maandalizi yanaendelea huku baadhi ya majiko yakiwa yameanza kuchoma nyama.
Ikiwa ni sehemu ya shamrashamra hizo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa imeratibu tukio hilo eneo la 'Clock Tower' na kwamba, wakazi wa Arusha watakula nyama choma bila gharama yoyote.
Mpaka sasa maandalizi yanaendelea huku baadhi ya majiko yakiwa yameanza kuchoma nyama.
Saa Moha Na Madakika Natarajia Kuwasili Clock Tower Center City Nikatafune Kidogo Nyama Choma+Juisi Ya Ukwaju Baada Ya Iftar Ya Jioni,,Sitaki Jivisha Ukiritimba Katika Hili Kwa Kweli!!