KERO Makonda ingilia kati tatizo la maji Kiseriani, yanatoka mara moja kwa wiki tena usiku

KERO Makonda ingilia kati tatizo la maji Kiseriani, yanatoka mara moja kwa wiki tena usiku

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Hossam

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
3,544
Reaction score
2,169
Mheshimiwa mkuu wa mkoa, sisi wakazi wa Kiseriani hasa maeneo ya Kilimani tuliungiwa maji mwezi wa tatu mwaka huu.

Ajabu maji yanatoka mara moja kwa wiki tena usiku. Hatuelewi kisa cha kuungiwa maji na kuendelea kuteseka.

Tunaomba ingilia kati tupate huduma hii kama wakazi wengine wa maeneo mengine.

Pangu Pakavu
 
Anzeni na watendaji wa chini kabla ya kukimbilia mkuu wa mkoa.
 
Usa river pia watendaji wa idara ya maji wanyanyasaji kwa lugha chafu na kutokuwasikiliza wateja.Pia wanakata maji bila kuwasiliana na mteja.
Sasa CCM ndo imekuwa ya kuwakatia watu maji wakati wa kampeni utasikia shida ya maji,barabara,hospitali zataisha.
 
Back
Top Bottom