MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Watu wangu wa zamaniiiiiii,
Leo nimeona kwenye page ya mkongwe DJ John Dillinga kuwa big boss wa jiji la Dar atakuja kujikumbusha nyakati muziki ukiwa muziki ndani ya club legends zamani nyumbani lounge Namanga.
Karibu sana kiongozi kijana, na imagine mkuu uki boogie down na akina Digadiga, Seydou n.k Safi sana viongozi vijana wanapojichanganya namna hii. Utashuhudia wazee wanavyoyarudi mangoma na mvi zao!
Old is always gold ...
Leo nimeona kwenye page ya mkongwe DJ John Dillinga kuwa big boss wa jiji la Dar atakuja kujikumbusha nyakati muziki ukiwa muziki ndani ya club legends zamani nyumbani lounge Namanga.
Karibu sana kiongozi kijana, na imagine mkuu uki boogie down na akina Digadiga, Seydou n.k Safi sana viongozi vijana wanapojichanganya namna hii. Utashuhudia wazee wanavyoyarudi mangoma na mvi zao!
Old is always gold ...