Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Hebu punguza povu ndipo u post hapa.Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand
Hebu punguza povu ndipo u post hapa.
[/B]
Mkuu ulikuwa na miasila nini?usijali umeeleweka
Sio kila komputer ni ya kikelewe
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand[/QUOTE
UMENIKUMBUSHA KIFIMBO-CHEZA.
Labda yule mama mwenye mimba ni mke wa mleta thread, ndio maana ghadhabu imepanda kwa kichwa!
Tusker bariiidi?
Nilikuwa kwenye daladala Ubungo Posta kuna mama mmoja mjamzito ana muomba konda
Yule mama alisikika..Gari limejaa ondoeni gari joto limezidi
Konda..inayo jaa chupa ya bia mama wala sio gari alafu kama kuna joto nenda kapende friji likupeleke unakokwenda
Yule mama akasema..Ahsante kwa majibu yako
Konda akasema majipu vipele....
Makonda na wenye lugha chafu jaribuni kuwa na staha kwa unaemjua na usie mjua(Wengine mpo umu FJ)msg sand
Alikuwa abiria mwenzangu
Yaelekea umekasirika kinoma mkuu, full mapovu. Tazama hizo red, hazitufai kwenye jukwaa la lugha. Na heading yako waombe mods waichakachue isomeke ZITARAJIA na ZITALAJIA. Grammar mkuu, usiwe kama konda
Sasa mbona temperature yako imepanda?
Pole kaka tuwakemee tu hawa makonda mwanawaneee
Kwa sababu ya mdomo wa* yulu* konda
Kwa sababu ya mdomo wa yulu konda