“Naijua hali anayoipitia Tundu Lissu kwenye chama chake cha CHADEMA, sio hali nzuri kabisa, anapambana namna ya kujishikiza mahali na sehemu pekee ya kujishikiza ni kwa makonda.
Jambo alilosema Tundu Lissu halina ukweli hata kidogo, tukirudi nyuma wakati tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi mimi nilikuwa Dar Es Salaam kwenye uwanja wa mnazi mmoja na nilikuwa na kampeni ya matibabu bure, sikuwepo eneo la tukio"
mkuu wa mkoa wa Arusha akijibu swali kuhusu taarifa za kuwekewa sumu hivi karibuni✍️
#RipotiYaMiezi6YaRCMakonda
Jambo alilosema Tundu Lissu halina ukweli hata kidogo, tukirudi nyuma wakati tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi mimi nilikuwa Dar Es Salaam kwenye uwanja wa mnazi mmoja na nilikuwa na kampeni ya matibabu bure, sikuwepo eneo la tukio"
mkuu wa mkoa wa Arusha akijibu swali kuhusu taarifa za kuwekewa sumu hivi karibuni✍️
#RipotiYaMiezi6YaRCMakonda