Makonda ndiye aliyesababisha Stars kwenda AFCON?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Ni kama vile watetezi wa Paul Makonda kwenda Misri "Kuhamasisha" Taifa Stars wanataka kusema ama kuonesha kwamba ni yeye ndiye aliyesababisha Stars kufuzu kushiriki mashindano hayo baada ya miaka 39 kupita.

Hii hoja ina uzito ama ukweli wowote. Yaani bila ya Makonda kuwa mhamasisha wa timu hiyo dakika za mwisho mwisho leo Stars Isingekuwa iko Misri Mashindanoni?
 
inasemekana jamaa ana mizizi fulani akikaa nayo jukwaani timu inashinda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…