Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Makonda ameanzisha project nyingi sana. Na nyingi hatuna feedback zinaendeleaje sasa hivi. Ila hatujasikia lolote kuhusu kuwekeza kwenye michezo ya vijana kuanza kada za chini kabisa. Ili safari za kwenda kuwatia moyo wachezaji kama alivyoenda Egypt ziwe na tija, ni lazima sasa tusiache eneo hilo pana lenye uwezo wa kuajiri watu wengi, kama la michezo, liachwe bila kupewa msaada wa maana, au kuonyesha kwamba nao wana mchango wa kuchangia kwenye ustawi wa Taifa letu.
Ukianza Dar, wengine wakaiga mfanio, naamini tutaibua na kuendeleza vipaji ambayo vipo, kwa wakati. Ilivyo sasa, hardly watoti wana sehemu za kucheza.Open space karibu zote zimenyakuliwa na watu wenye nguvui. Hakuna msukumo kwenye elimu yetu upande wa michezo.
Sioni namna tutaweza kujivunia matokeo tofauti na yale tunayoyaona kama hali ya sasa itaachwa iendelee. Wachezaji wanatengenezwa. Tuwekeze kwenye viwanda vya kuwatengeneza wachezaji hao, kwenye michezo karibu yote.
Zamani zile kuna mwamba mmoja aliitwa Laurent Gama, alipenda sana michezo. Na popote alipokwenda alijaribu kuhakikisha kuna kitu chenye kuacha alama za kupenda kwake michezo. Ina maana hatuna kina Gama wengine, mpaka siku za kupanda ndege kwenda kushangilia?
Ukianza Dar, wengine wakaiga mfanio, naamini tutaibua na kuendeleza vipaji ambayo vipo, kwa wakati. Ilivyo sasa, hardly watoti wana sehemu za kucheza.Open space karibu zote zimenyakuliwa na watu wenye nguvui. Hakuna msukumo kwenye elimu yetu upande wa michezo.
Sioni namna tutaweza kujivunia matokeo tofauti na yale tunayoyaona kama hali ya sasa itaachwa iendelee. Wachezaji wanatengenezwa. Tuwekeze kwenye viwanda vya kuwatengeneza wachezaji hao, kwenye michezo karibu yote.
Zamani zile kuna mwamba mmoja aliitwa Laurent Gama, alipenda sana michezo. Na popote alipokwenda alijaribu kuhakikisha kuna kitu chenye kuacha alama za kupenda kwake michezo. Ina maana hatuna kina Gama wengine, mpaka siku za kupanda ndege kwenda kushangilia?