Makonda: Nilikuwa nina uwezo wa kuingia kwa mzee Mengi hadi chumbani kupiga story

Makonda: Nilikuwa nina uwezo wa kuingia kwa mzee Mengi hadi chumbani kupiga story

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Hii ni moja ya kauli Tata sana aliyoitoa kijana huyu mzee Mengi alikuwa na mke unaingiaje chumbani kwake .
Mi sijawahi hata ingia chumba Cha baba zangu wakubwa na wadogo tukiacha Cha baba na mama yangu ambacho sikijui kabisaa.kauli zingine tata:

1.Sijawahi ona mchaga akitoa hell kusaidia mlemavu
2.mengi aliahidi kiwanda Cha kutoa ajira kwa walemavu Cha bil 2 ,na anahakikisha atatokea wa kusaidia ,huyu kijana anataka awasumbue kina Regina ,AHADI ZA BABA YAO AMBAZO HAKUTIMIZA YEYE HAZIWAHUSU MALI SASA NI ZAO NA ZITATUMIKIA MATAKWA YAO NA SI YA BABA TENA ,Huku ni kuvizia Mali

NITOE RAI
Familia ikae mbali na wanasiasa kwanza Nani asie jua kisiri jamaa alikuwa mpinzani na alisapport sana move za lowassa ,Mengi alikuwa Kama bahressa anawachekea wanasiasa kimaslahi tuu
 
Hivi Makonda ..una mke wewe??au kwaajili kina Lemutuz dl marafiki zako nas na ww unakosa busara,,??mwanaume kujisifia kuiywa chumban kwa mwanaume mwenzako mbona mm inanitia woga sana jaman?

Una shida gan ww??
Mkuu upo ? Niko nje ya maada
 
Hivi Makonda ..una mke wewe??au kwaajili kina Lemutuz dl marafiki zako nas na ww unakosa busara,,??mwanaume kujisifia kuiywa chumban kwa mwanaume mwenzako mbona mm inanitia woga sana jaman?

Una shida gan ww??
maana ametaka kuaminisha watu kuwa alikuwa karibu naye sana
 
Back
Top Bottom