Uchaguzi 2020 Makonda sisi wananchi wa Dar na Watanzania tunakushukuru sana kwa kujali afya zetu tunakuomba ugombee Urais mwaka huu utusaidie zaidi

Uchaguzi 2020 Makonda sisi wananchi wa Dar na Watanzania tunakushukuru sana kwa kujali afya zetu tunakuomba ugombee Urais mwaka huu utusaidie zaidi

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,695
Ama hakika nimeona wewe kijana Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kiakili. Unaweza kupanga mambo kwa muono wa mbali na yakafanikiwa yaani wewe kwa lugha adhimu ni mwana falsafa.

Mpango ulio kuja nao hivi karibuni wa kutangaza Wagonjwa wa Corona umetusaidia sana wananchi. Baada ya wewe tu kutangaza wagonjwa ugonjwa uliisha pale pale na hakuna kifo wala mgonjwa kuongezeka aisee wewe kweli ni kichwa na mjuvi wa mambo.

Sijui ni kwani yule Waziri wetu wa Afya anakuzuia kutangaza Majina ya wagonjwa wakati anajua kabisa ktk nchi hii, wenye Akili ni wawili tuu unaanza wewe kisha anafuata Kiongozi wa Malaika huko mbinguni.

Wewe hutakiwi kupewa maelekezo maana ni naibu wa Malaika huenda kawaziri kadogo kama hako ka Afya hakakujui kazi zako zingine .Bila shaka Elimu yako wewe ulisomea huko Ulaya ndo maana unafanya mambo kwa weredi sana.

Kwa uwezo wako huo mkubwa kiakili ingefaa uwe unafundisha Chuo kikuu hapo mlimani kuongeza wataalamu zaidi. Lakini kwa kuwa una mambo mengi ya kufanya Yanayo julikana na yasiyo julikana huwezi kupata muda.

Tunakuomba ukikutana na kiongozi wa malaika mkuu, mwambie wanachi malofa wanaomba tuongezee idadi ya Midege walau iwe 600 hivi. Tunataka anga letu lijae midege hiyo hata kama yakitokea Mafuriko au ugonjwa kama huu wa Corona wananchi wote tupande ndege zetu tukakae angani.

Maendeleo hayana vyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni lazima awe Rais ili afanye unayosema? Asipokuwa Rais ina maana hayatafanyika? Nini kifanyike ili yafanyike bila yeye kuwa Rais? Ni yeye pekee Tanznania nzima wa kufanya hayo?
 
Kikubwa tu umakini uwepo maana ajali zinaweza zikaua kuliko COVID 19. Kama mmeona Kenya ile amri tu ya kukaa ndani imeua wengi kuliko kirusi chenyewe.
 
Hiyo umetumia Fasihi inaitwa Litotes umetumia kinyume nyume...nawaomba watu wasikutukane kama awajui definition ya ...Litotes.
litotes

noun

ironic understatement in which an affirmative is expressed by the negative of its contrary (e.g. I shan't be sorry for I shall be glad )



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama hakika nimeona wewe kijana Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana kiakili. Unaweza kupanga mambo kwa muono wa mbali na yakafanikiwa yaani wewe kwa lugha adhimu ni mwana falsafa.

Mpango ulio kuja nao hivi karibuni wa kutangaza Wagonjwa wa Corona umetusaidia sana wananchi. Baada ya wewe tu kutangaza wagonjwa ugonjwa uliisha pale pale na hakuna kifo wala mgonjwa kuongezeka aisee wewe kweli ni kichwa na mjuvi wa mambo.

Sijui ni kwani yule Waziri wetu wa Afya anakuzuia kutangaza Majina ya wagonjwa wakati anajua kabisa ktk nchi hii, wenye Akili ni wawili tuu unaanza wewe kisha anafuata Kiongozi wa Malaika huko mbinguni.

Wewe hutakiwi kupewa maelekezo maana ni naibu wa Malaika huenda kawaziri kadogo kama hako ka Afya hakakujui kazi zako zingine .Bila shaka Elimu yako wewe ulisomea huko Ulaya ndo maana unafanya mambo kwa weredi sana.

Kwa uwezo wako huo mkubwa kiakili ingefaa uwe unafundisha Chuo kikuu hapo mlimani kuongeza wataalamu zaidi. Lakini kwa kuwa una mambo mengi ya kufanya Yanayo julikana na yasiyo julikana huwezi kupata muda.

Tunakuomba ukikutana na kiongozi wa malaika mkuu, mwambie wanachi malofa wanaomba tuongezee idadi ya Midege walau iwe 600 hivi. Tunataka anga letu lijae midege hiyo hata kama yakitokea Mafuriko au ugonjwa kama huu wa Corona wananchi wote tupande ndege zetu tukakae angani.

Maendeleo hayana vyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkonyo hoja. Kwa sababu unetunaga mbunyu mbinyu
 
Sijui ni kwani yule Waziri wetu wa Afya anakuzuia kutangaza Majina ya wagonjwa wakati anajua kabisa ktk nchi hii, wenye Akili ni wawili tuu unaanza wewe kisha anafuata Kiongozi wa Malaika huko mbinguni.

Kwa uwezo wako huo mkubwa kiakili ingefaa uwe unafundisha Chuo kikuu hapo mlimani kuongeza wataalamu zaidi.

Tunakuomba ukikutana na kiongozi wa malaika mkuu, mwambie wanachi malofa wanaomba tuongezee idadi ya Midege walau iwe 600 hivi. Tunataka anga letu lijae midege hiyo hata kama yakitokea Mafuriko au ugonjwa kama huu wa Corona wananchi wote tupande ndege zetu tukakae angani.

Maendeleo hayana vyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
😊......
 
kuna watu mnadharau,sipata kuona by the way hongera kwa kutumia fasihi vizuri
 
Back
Top Bottom