Makonda siyo Celebrity?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kutajwa kote huku kwa Mkuu wa MKoa wa Dar es salaam hajafikia viwango cha kuwa Celebrity? Maana hata kwa sisi wa mikoa ya huku upenuni tunafuatilia kinachojiri huko Dar es salaam kuhusu Makonda. Huyu jamaa kwa sasa ni zaidi ya kina Diamond na Ali kiba!!
 
Ukitaja dar ni sawa na umemtaja makonderrrr
 
Huyu lofa nasikia alikuwaga mkate wa boflo wa mtoto wa waziri flani wa awamu hizoooo.
 
[HASHTAG]#achamanenowekavyeti[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…