Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Kama ulishaenda kuomba huduma yoyote kwenye ofisi za umma hasa ardhi, tanesco, maji nk utamuunga mkono mtumishi wa Mungu Daudi anavyowakerembesha ili watie adabu.
Kama wewe ni mtumishi wa umma Ngazi ya chini utamuunga mkono kijana wa Mzee Albert Kwa utume wake huko chugastan.
Wakuu wa taasisi, vitengo na division ni miunguwatu Kwa manamba wao, hawawasikilizi watumwa wao kabisa.
Mimi kama Mkazi wa call me j namfanyia matambiko Nsumbantare na kumtaka 2025 aje Misungwi achukue kiti Cha Mzee wa gwambina na akapewe uwaziri wa utumishi muone moto atakaowawashia watendaji wabovu.
Kamatia hapo Dau
Kama wewe ni mtumishi wa umma Ngazi ya chini utamuunga mkono kijana wa Mzee Albert Kwa utume wake huko chugastan.
Wakuu wa taasisi, vitengo na division ni miunguwatu Kwa manamba wao, hawawasikilizi watumwa wao kabisa.
Mimi kama Mkazi wa call me j namfanyia matambiko Nsumbantare na kumtaka 2025 aje Misungwi achukue kiti Cha Mzee wa gwambina na akapewe uwaziri wa utumishi muone moto atakaowawashia watendaji wabovu.
Kamatia hapo Dau