Kipindi kile sunset beach ndo inashika chat.....lazima niichek ndo nilale basi monie lazima nichelewe yani....basi hapo nitakutana na kichura, na kufyeka kwa kwenda mbele yani...mpk mikono ikawa sugu balaa......daa i miss makongo...siku moja hatukufanya assignment ya mrs.maguo daa tulijutaje. Tulipewa mazoezi ya kijeshi tulikuwa kama wavulana 20 yani nusu ya darasa..tulipigwa jiramba hilo na master..yani hadi miguu ilikuwa mizito kusogea..kesho yake waliokuja class ni kama watano tu hv..wengine wote miili haisogei