Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi Mkuu ikiwa ni moja ya kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa ili kuleta usawa katika suala la uongozi kwenye jamii.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Katavi, Makongoro Nyerere ambae ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa katika maadhimisho ya siku ya mwanamke kwa ngazi ya mkoa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Katavi, Makongoro Nyerere ambae ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa katika maadhimisho ya siku ya mwanamke kwa ngazi ya mkoa.