Makosa 4 aliyoyafanya Harmonize mpaka sasa

Kuna jambo kubwa hamjajua siri yote anayo Petro Magoti wa Kigamboni anakaa sana pale Ikulu, ni jamaa kibiongo fulani hivi

Harmonize kiburi kapata Kwa Polepole Humphrey, kaahidiwa Mengi na CCM kwenye makampeni, pia ameshasaini Mkataba wa Bilion kadhaa na Kampuni ya Uganda kuputia Winnie Nwagi , kwake mashari ya Mikataba mipya ilikuwa lazima awe independent,

Britannica
 
inaweza ikawa kama watu wana hisi ni jambo la kawaida lakini ukiangalia kwa makini alichofanya harmonize ni moja kati ya worst move kibiashara..uwa tuna jiachia taratibu taratibu huku tukiendelea kumfilisi boss kuliko kuamka na kwenda kuanza maisha mapya akati unalala nyumba ya ofisi na gari la ofisi..
nime sema wampe namba ya ebitoke au mkali wenu maana wana akisi mfano halisi wa kuwa hakuna msanii mkubwa kuliko lebo kabla hawaja jitoa timamu tv walikuwa ni moja kati ya top comedian lakini hakuna mtu aliyekuwa anatilia manani nafas ya timoth conrad katika ukuaji wa majina yao.walipotoka kwenye lebo nazan mnaona kinachoendelea
na kama harmonize asipokuwa
makini nazan na yeye mtamsahau af mtasema karogwa
 
50% 50%

Muda Utazungumza Ila Nakukumbusha Wengi Huwa Makini Ukiachana Na Wanaokurupuka
 
Hii yote imechangiwa na said fella huyu jamaa inaonesha ana roho ya kinyonyaji c mnakumbuka yamoto band alivyokuwa anawanyonya mpaka watoto wakamkimbia sasa kaingia wasafi nahuko kazi ni hiyo hiyo tena huko kakutana na mafisadi wenzake tale na sallam,

Hapo anayefuatia kukimbia ni rayvany atafuata hako katoto sjui wanakaita lava lava ambacho juz nilikaona mitandaoni kanamshika shika uwoya then wcb itabaki na mondi pekee na hao mafisadi. Nao watoe vibao vyao tuone. Aiseeee
 
Umeandika kwa chuki sana mkuu na ningependa kukujibu kwa reference hai lkn muda hauniruhusu. Kabla ya kukujibu nataka ufuatilie hatua kubwa waliyofikia vijana Ferre Gola, Fally Ipupa,Heritier Watanabe na wakongwe JB Mpiana na Werrason. Ukitaka mafanikio usipende kubebwa.
 
Hii imeandikwa na Ali Kamwe umeshindwa kumpa credit zake..

Ukiitwa mwizi usikatae
 
Apambane tu.... !!

Ila afahamu tu .. 'Sikio halizidi kichwa'
 
Kwa kukurekebisha harmonize huwezi kumfananisha na Kiba!

Kwa hapa Tz ukitoka kwa mond anakuja harmonize alafu ndio nyumbu wengine wanafuatia!
 
Kakimbia ushirikina pale WASAFI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…