Humphrey Polepole alifanya kazi nzuri sana ila alipokosea ni pale alipotaka kuonyesha kuwa kazi yake kwenye chama ni kubwa na ana uwezo mkubwa wa kukifikisha chama sehem ya juu, alitoa wazo ambalo viongozi wake wa juu ukimtoa mwenyekiti wake wa chama hakushirikishwa, hao viongozi wake wa juu walimuachia mpini ili aunge shoka na aingie kupasua kuni ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na wakurugenzi wa miji na kuwa kitu kimoja kwa kauli moja ya utekelezaji wa USHINDI WA KISHINDO.
Huu ushindi umeonekana utakipa chama tawala muda mgumu sana na mwenyekiti wao kuongoza maana hata 50% ya wananchi kushiriki maendeleo ya nchi inaweza ikawa ni ngumu sana sana, ushirikishwaji na ushiriki wa wananchi una misingi yake na una matunda yake (ujenzi wa madarasa hadi sasa hakuna mwenyekiti wa mtaa/kijiji, mbunge, mkuu wa wilaya aliye jitokeza kuhubiri sera hii kwa wananchi ili wajitokeze kwa wingi kuchangia).
Kwa sasa ni nani kiongozi wa kisiasa atakaye simama na kuzungukia wananchi kuwahamasisha kuhusu kuchangia maendeleo yao. wangapi watashiriki, haya ni maswali lazima tujiulize na tupate majibu.
Humphrey Polepole alikuwa bado mdogo sana kuondolewa katika nafasi ile maana bado kijana anayeweza kukitumikia chama vizuri sana tu, kumuondoa kuliibua maswali mengi sana ukizingatia hajaomba kuondolewa pale, anajifariji ila ukweli ndio huo.
Huu ushindi umeonekana utakipa chama tawala muda mgumu sana na mwenyekiti wao kuongoza maana hata 50% ya wananchi kushiriki maendeleo ya nchi inaweza ikawa ni ngumu sana sana, ushirikishwaji na ushiriki wa wananchi una misingi yake na una matunda yake (ujenzi wa madarasa hadi sasa hakuna mwenyekiti wa mtaa/kijiji, mbunge, mkuu wa wilaya aliye jitokeza kuhubiri sera hii kwa wananchi ili wajitokeze kwa wingi kuchangia).
Kwa sasa ni nani kiongozi wa kisiasa atakaye simama na kuzungukia wananchi kuwahamasisha kuhusu kuchangia maendeleo yao. wangapi watashiriki, haya ni maswali lazima tujiulize na tupate majibu.
Humphrey Polepole alikuwa bado mdogo sana kuondolewa katika nafasi ile maana bado kijana anayeweza kukitumikia chama vizuri sana tu, kumuondoa kuliibua maswali mengi sana ukizingatia hajaomba kuondolewa pale, anajifariji ila ukweli ndio huo.