Makosa matano katika uvaaji wa Barakoa

Makosa matano katika uvaaji wa Barakoa

mwengeso

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2014
Posts
9,227
Reaction score
6,670
Kutokana na ushauri wa kuvaa barakoa kama njia mojawapo ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya kirusi cha korona wengi wetu wanafanya makosa yafuatayo ya uvaaji wake.

1) Barakoa kufunika tu mdomo. Uwezekano wa kuambukizwa kupitia pua ni mkubwa ukivuta hewa yenye virusi. Hii ni pamoja na kuiteremsha chini ya kidevu wakati unapongea. Baadhi ya watu wakiongea mate pia humtoka, kama ameambukizwa atasambaza virusi.

2) Barakoa inagusana na mwili au mavazi yako, kama yatakuwa na virusi, wakati wa mishemishe za maisha na hasa utumiapo usafiri wa umma kugusana na watu hakuepukiki. Hivyo siyo salama kuigusagusa, mathalani kutaka kuirekebisha ikae vizuri usoni.

3) Barakoa inalegea usoni. Barakoa N95 zivaliwazo na watumishi wa afya zimetengenezwa kwa utaalamu kiasi cha kubana uso inavyostahili. Lakini barakoa zingine, hasa zinazoshonwa na mafundi mitaani, nyingi hazikai vizuri usoni na kuongeza uwezekano wa kupitisha makohozi au chafya zenye virusi iwapo aliyevaa atakuwa ameambuukizwa.

Pia kama ilivyoelezwa kwenye 2) itamlazimu mvaaji kuirekebisha mara kwa mara kiasi cha kuongeza uwezekano wa kujiambukiza. Isitoshe kama una ndevu nyingi, uwezekano wa barakoa kutokukaa vizuri usoni ni mkubwa. Hivyo wenye ndevu mnashauriwa kupunguza ndevu maana barakoa ukiivaa ndevu zitaivuta chini na kuacha pua imefunikwa nusu nusu.

4) Barakoa inafunika sehemu ndogo ya pua badala ya pua yote. Wakati wa kuvaa barakoa, hasa zenye chuma, ibane kwenye pua kwanza.

5) Barakoa siyo safi na salama kutumika. Kama unatamani kuitumia barakoa tena, hakikisha umeisafisha kwanza ama kuipiga pasi (zinazotengenezwa mitaani) au ya N95 kuitundika kwenye mvuke wa maji yanayochemka kwa dakika kama 15 na kisha kuanikwa ikauke ili isivaliwe ikiwa mbichi. Kamwe usiendelee kutumia barakoa iliiyochakaa au isiyo safi.

COVID-19 ni ugonjwa hatari ambao hauna chanjo wala tiba. Njia ya kuepukana na maambukizi ni yako mwenyewe kwa maamuzi yako binafsi kuzingatia au la, ushauri unaotolewa mara kwa mara na wataalamu wa afya na wewe mwenyewe kubadili tabia.
 
Kutokana na ushauri wa kuvaa barakoa kama njia mojawapo ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya kirusi cha korona wengi wetu wanafanya makosa yafuatayo ya uvaaji wake.

1) Barakoa kufunika tu mdomo. Uwezekano wa kuambukizwa kupitia pua ni mkubwa ukivuta hewa yenye virusi. Hii ni pamoja na kuiteremsha chini ya kidevu wakati unapongea. Baadhi ya watu wakiongea mate pia humtoka, kama ameambukizwa atasambaza virusi.

2) Barakoa inagusana na mwili au mavazi yako, kama yatakuwa na virusi, wakati wa mishemishe za maisha na hasa utumiapo usafiri wa umma kugusana na watu hakuepukiki. Hivyo siyo salama kuigusagusa, mathalani kutaka kuirekebisha ikae vizuri usoni.

3) Barakoa inalegea usoni. Barakoa N95 zivaliwazo na watumishi wa afya zimetengenezwa kwa utaalamu kiasi cha kubana uso inavyostahili. Lakini barakoa zingine, hasa zinazoshonwa na mafundi mitaani, nyingi hazikai vizuri usoni na kuongeza uwezekano wa kupitisha makohozi au chafya zenye virusi iwapo aliyevaa atakuwa ameambuukizwa.

Pia kama ilivyoelezwa kwenye 2) itamlazimu mvaaji kuirekebisha mara kwa mara kiasi cha kuongeza uwezekano wa kujiambukiza. Isitoshe kama una ndevu nyingi, uwezekano wa barakoa kutokukaa vizuri usoni ni mkubwa. Hivyo wenye ndevu mnashauriwa kupunguza ndevu maana barakoa ukiivaa ndevu zitaivuta chini na kuacha pua imefunikwa nusu nusu.

4) Barakoa inafunika sehemu ndogo ya pua badala ya pua yote. Wakati wa kuvaa barakoa, hasa zenye chuma, ibane kwenye pua kwanza.

5) Barakoa siyo safi na salama kutumika. Kama unatamani kuitumia barakoa tena, hakikisha umeisafisha kwanza ama kuipiga pasi (zinazotengenezwa mitaani) au ya N95 kuitundika kwenye mvuke wa maji yanayochemka kwa dakika kama 15 na kisha kuanikwa ikauke ili isivaliwe ikiwa mbichi. Kamwe usiendelee kutumia barakoa iliiyochakaa au isiyo safi.

COVID-19 ni ugonjwa hatari ambao hauna chanjo wala tiba. Njia ya kuepukana na maambukizi ni yako mwenyewe kwa maamuzi yako binafsi kuzingatia au la, ushauri unaotolewa mara kwa mara na wataalamu wa afya na wewe mwenyewe kubadili tabia.
 
Vipi kwa hizi disposable ukizipulizia sanitizers
La msingi hakikisha barakoa, kabla ya kuitumia, iko safi na salama kama nilivyotangulia kueleza.

Barakoa za nguo, usafi wake ni kama nguo za ndani ambazo huvaliwa mara moja tu na kisha kusafishwa ili kupunguza uwezekano wa uchafu wake kukuambukiza. Kumbuka barakoa inavaliwa nje na kukusanya kila aina ya uchafu, vidudu vya maradhi mbalimbali na siyo virusi tu.

Jambo lingine la kuzingatia barakoa isivaliwe muda mrefu kwa kuwa upo uwezekano wa kupata maradhi ya mapafu km Hypoxia na Hypoxemia. Magonjwa haya husababishwa na kuvuta hewa chafu (carbondioxide) na kusababisha upungufu wa hewa safi (oxygen) kwenye damu. Dalili zake ni pamoja na kuwa katika hali ya wasiwasi,mkanganyiko na kutokutulia. Ukiwa umevaa barakoa bila shaka unapopumua hewa chafu huivuta tena. Inashauriwa ukiwa mahali salama, upe mwili wako nafasi ya kupokea hewa safi. Lakini utakuta mtu anaendesha gari,yuko peke yake, amevaa barakoa huku madirisha amefunga na kiyoyozi juu. Anaingia ofisini yenye kiyoyozi kutwa nzima barakoa usoni. Si ajabu hao kupata maradhi hayo na kusindwa kupumua vizuri, hatimaye kusingiziwa COVID-19.

JIKINGE DHIDI YA COVID-19 BILA KUHATARISHA AFYA YAKO
 
Kutokana na ushauri wa kuvaa barakoa kama njia mojawapo ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya kirusi cha korona wengi wetu wanafanya makosa yafuatayo ya uvaaji wake.

1) Barakoa kufunika tu mdomo. Uwezekano wa kuambukizwa kupitia pua ni mkubwa ukivuta hewa yenye virusi. Hii ni pamoja na kuiteremsha chini ya kidevu wakati unapongea. Baadhi ya watu wakiongea mate pia humtoka, kama ameambukizwa atasambaza virusi.

2) Barakoa inagusana na mwili au mavazi yako, kama yatakuwa na virusi, wakati wa mishemishe za maisha na hasa utumiapo usafiri wa umma kugusana na watu hakuepukiki. Hivyo siyo salama kuigusagusa, mathalani kutaka kuirekebisha ikae vizuri usoni.

3) Barakoa inalegea usoni. Barakoa N95 zivaliwazo na watumishi wa afya zimetengenezwa kwa utaalamu kiasi cha kubana uso inavyostahili. Lakini barakoa zingine, hasa zinazoshonwa na mafundi mitaani, nyingi hazikai vizuri usoni na kuongeza uwezekano wa kupitisha makohozi au chafya zenye virusi iwapo aliyevaa atakuwa ameambuukizwa.

Pia kama ilivyoelezwa kwenye 2) itamlazimu mvaaji kuirekebisha mara kwa mara kiasi cha kuongeza uwezekano wa kujiambukiza. Isitoshe kama una ndevu nyingi, uwezekano wa barakoa kutokukaa vizuri usoni ni mkubwa. Hivyo wenye ndevu mnashauriwa kupunguza ndevu maana barakoa ukiivaa ndevu zitaivuta chini na kuacha pua imefunikwa nusu nusu.

4) Barakoa inafunika sehemu ndogo ya pua badala ya pua yote. Wakati wa kuvaa barakoa, hasa zenye chuma, ibane kwenye pua kwanza.

5) Barakoa siyo safi na salama kutumika. Kama unatamani kuitumia barakoa tena, hakikisha umeisafisha kwanza ama kuipiga pasi (zinazotengenezwa mitaani) au ya N95 kuitundika kwenye mvuke wa maji yanayochemka kwa dakika kama 15 na kisha kuanikwa ikauke ili isivaliwe ikiwa mbichi. Kamwe usiendelee kutumia barakoa iliiyochakaa au isiyo safi.

COVID-19 ni ugonjwa hatari ambao hauna chanjo wala tiba. Njia ya kuepukana na maambukizi ni yako mwenyewe kwa maamuzi yako binafsi kuzingatia au la, ushauri unaotolewa mara kwa mara na wataalamu wa afya na wewe mwenyewe kubadili tabia.

Kama corona anaambukizwa kwa njia ya hewa kwa nini tukioumua hatuambiwi tupumulie kiwiko cha mkono kama ambavyo tukioiga chafya na kukohoa tunaambiwa tukoholee kiwiko cha mkono ?

Kama corona inaenea kwa njia ya hewa unadhani kuna haja ya kuvaa barakoa zinazotuwezesha kupumua ilhali ukipumua barakoa ikipitisha hewa na corona anapita nje ya barakoa na hivyo wadudu kuwa wanaendelea kuenea ?

Je ni kweli kuwa corona anaweza kuishi hewani tuu bila kudondoa chini?
 
Kama corona anaambukizwa kwa njia ya hewa kwa nini tukioumua hatuambiwi tupumulie kiwiko cha mkono kama ambavyo tukioiga chafya na kukohoa tunaambiwa tukoholee kiwiko cha mkono ?

Kama corona inaenea kwa njia ya hewa unadhani kuna haja ya kuvaa barakoa zinazotuwezesha kupumua ilhali ukipumua barakoa ikipitisha hewa na corona anapita nje ya barakoa na hivyo wadudu kuwa wanaendelea kuenea ?

Je ni kweli kuwa corona anaweza kuishi hewani tuu bila kudondoa chini?
Mimi si mtaalamu wa afya, wao wanasema kirusi kinakaa kwenye mate/makohozi na makamasi. Mgonjwa akikohoa au kupiga chafya, aliye karibu yatamdondokea na kama yatagusa mdomo, pua au macho virusi vitamwingia mwilini.

Kuvaa barakoa kunapunguza uwezekano wa mate/makohozi au makamasi kumrukia mtu aliye jirani. Na iwapo naye amevaa barakoa, uwezekano wa kumfikia unakuwa mdogo zaidi.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE WAPENDWA
 
bila kuzuia macho bado sijaona kinga kwa 100% ya kuvaa barakoa hata ukivaa N95 😎
 
bila kuzuia macho bado sijaona kinga kwa 100% ya kuvaa barakoa hata ukivaa N95 😎
Macho hayakingwi kwa sababu uwezekano wa maambukizi kupitia macho ni mdogo. Maambukizi kwa njia hiyo wataalamu wanasema ni pale tu tone la kohozi au kamasi litakapoingia na ama kwa kuyagusa kwa mikono yenye virusi kutokana na wewe kugusa sehemu yenye virusi.

Kwa kuwa kiwango cha kamasi au kohozi kuruka ni umbali tunaoshauriwa kutokukaribiana, na mwenye makohozi au mafua amevaa barakoa, usalama unakuwepo wa kutosha
 
Maelezo yafuatayo ni nyongeza ya ushauri wa kujikinga dhidi maambukizi pasipo kuhatarisha afya. Yako kwa lugha ya kigeni lakini rahisi kuekeweka

"DANGER OF FACE MASK
Mask is supposed to be used for a limited time. If you wear it for a long time:
1. Oxygen in the blood reduces.
2. Oxygen to the brain reduces.
3. You start feeling weak.
4. May lead to death.

ADVICE
(a) Pull it off when you are alone. I see a lot of people in their car with AC on still wearing face MASK. Ignorance or illiteracy?
(b) Do not use it at home.
(c) Only use it in a crowded place and when in close contact with one or more persons.
(d) Reduce the use of it while isolating yoursef most times.

Stay Safe!!!
Medicines that are taken in isolation hospitals
1. Vitamin C-1000
2. Vitamin E (E)
3. From (10 to 11) hours, sitting in the sunshine for 15-20 minutes.
4. Egg meal once ..
5. We take a rest / sleep a minimum of 7-8 hours
6. We drink 1.5 liters of water daily
7. All meals should be warm (not cold).
And that's all we do in the hospital to strengthen the immune system
Note that the pH of coronavirus varies from 5.5 to 8.5

Therefore, all we have to do to eliminate the virus is to consume more alkaline foods above the acidity level of the virus.
Such as :
Green lemon - 9.9 pH
Yellow Lemon - 8.2 pH
Avocado - 15.6 pH
√ Garlic - 13.2 pH
√ Mango - 8.7 pH
√ Tangerine - 8.5 pH
√ Pineapple - 12.7 pH
√ Watercress - 22.7 pH
√ Oranges - 9.2 pH
How to know that you are infected with corona virus?
1. Itchy throat
2. Dry throat
3. Dry cough
4. High temperature
5. Shortness of breath
6. Loss of smell ....
And lemon with warm water eliminates the virus at the beginning before reaching the lungs ...
Do not keep this information to yourself. Provide it to all your family and friends."

Tanzania bila COVID-19 imewezekana kwa kila mtu anazingatia ushauri wa wataalamu wa afya kujikinga dhidi ya maambukizi, hata na wale wa mlengo wa kushoto.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
 
Habari wanajamvi,

Kutokana na janga hili la corona (COVID19), moja ya njia za kujikinga ni uvaaji wa barakoa.
Huu uvaaji wa barakoa ukitumika vizuri unaweza kuwa sehemu ya kinga kwa mvaaji kuambukizwa virusi vya Corona. Lakini uvaaji wa barakoa husipotumika vizuri(kuvaliwa vizuri,unaweza ukawa janga kwa mvaaji.

Watu wengi wanavaa barakoa kama fashion na siyo kama kinga. Kuna watu wamekuwa wakiwavalisha barakoa watoto wadogo ambaohawajaweza kujimiliki wao wenyewe, na hivyo kuwaletea matatizo ya upumuaji na mwisho inaweza kuwasababishia vifo.

Nimesikia kuna sehemu fulani mama alimvalisha mwanae barakoa na kisha kunfungia mgongoni na kumfunika gubigubi. Mtiti alishindwa kupumua na kuanza kuangaika, lakini mzazi alifikiri kuwa mtoto alikuwa anasumbua tu. Mwisho wa mwisho mtoto alikosa hewa na kupoteza maisha.

Nashauri tu watumiaji wa barakoa wazitumie vizuri kama kinga, na zitumike tu kwa watu wenye uwezo wa kujimiliki, vinginevyo zitakuwa janga badala ya kinga.
 
Daah huyo mama atazichukia barakoa maisha yake yote.

Ila ubebaji wa watoto gubi gubi siupendi kutesana tu
 
Mnaotumia "masc" kujeni hapa.

🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Daah huyo mama atazichukia barakoa maisha yake yote.

Ila ubebaji wa watoto gubi gubi siupendi kutesana tu

Yawezekana aulikuwa na nia njema tu ya kumkinga mtoto wake, lakini uelewa wa ni jinsi gani amvalishe na kumweka mtoto ndo umeleta shida zote hizo.
 
Back
Top Bottom