Makosa matano ya Wafilisti kwa Samsoni

Ndio wapalestina wa leo
 
Dunia hii ya karne ya UELEWA bado kuna watu mnaamini hizi hadithi za kubuni za sungura na fisi?
Hadithi zinaendelea, miaka hamsini ijayo wenye uelewa hawata amini kuwa Israel ilivamia Gaza na kuchinja watu miezi sita bila jumuia ya kimataifa kuingilia, yaani hata waarabu na waislamu wenzao
wanachekacheka tu

Na hio Gaza ni mji wa wafilisti uliotoholewa na warumi badala ya philistine wanaita Palestine

Israel ni hadithi ya kutisha!
 
Ukimaliza chambua na hadithi ya juma na uledi na ngoma kubwa mkuu.
 
Ina maana hakuna aliefanikiwa kutoka kwenye ukumbi ule
Uongozi wa juu wa wafilisti uliangamia pamoja na idadi kubwa ya askari wa kifilisti.
Samson ndiye mwamuzi wa mwisho kwa Waisrael
 
Hawakufanya makosa ila ni kusudio la mungu kutokea kwa mambo yote ili tutambue ya kuwa yupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…