Makosa mawili makubwa ambayo yatagharimu hatma yake

Makosa mawili makubwa ambayo yatagharimu hatma yake

Joined
Oct 19, 2022
Posts
25
Reaction score
41
Wakuu,

Wakati anapewa kijiti toka kwa mtangulizi wake, alipewa maagizo mengi atekeleze. Yapo ya muhimu sana yalipaswa kutimizwa mwaka huu unaoisha lakini aliona yataharibu hatma ya muhula wa pili kwake.

1. Uandishi wa katiba Mpya ulipaswa kuanza mwaka huu lakini hakuna dalili yoyote hadi Sasa.

2. Deni la taifa linapaa kwa kasi wakati alitahadharishwa apunguze mikopo bali aboreshe namna ya ukusanyaji mapato nchini!

Zipo dalili za wazi zinaonyesha mwenendo wa uongozi wake kufanana na mwenendo wa moja ya awamu zilizopita ambazo nasaba za ubadhirifu, wizi na ufisadi zinashamiri.

Kuna mabadiliko hayana budi kutokea hivi karibuni.

Tuupe muda wakati.
 
Ndoto za alinacha nenda kakojoe urudi kulala!! Bado mpo kwenye ndoto za chato? Amkeni kwenye usingizi uongozi wa uhayawani Mungu alishapigilia mbali huko!!

WOte mliozoea vya kunyonga nakuona watu wanateseka lazima roho ziwaume mkione watu wana amani, hamna watu kutekana, watu kuokotwa kwenye viroba n.k

Damu ya Ben Saanane na wengine wengi mlioua itawatesa sana!!
 
Wakuu,

Wakati anapewa kijiti toka kwa mtangulizi wake, alipewa maagizo mengi atekeleze. Yapo ya muhimu sana yalipaswa kutimizwa mwaka huu unaoisha lakini aliona yataharibu hatma ya muhula wa pili kwake.

1. Uandishi wa katiba Mpya ulipaswa kuanza mwaka huu lakini hakuna dalili yoyote hadi Sasa.

2. Deni la taifa lina paa kwa kasi wakati alitahadharishwa apunguze mikopo bali aboreshe namna ya ukusanyaji mapato nchini!

Zipo dalili za wazi zinaonyesha mwenendo wa uongozi wake kufanana na mwenendo wa moja ya awamu zilizopita ambazo nasaba za ubadhirifu, wizi na ufisadi zinashamiri.

Kuna mabadiliko hayana budi kutokea hivi karibuni.

Tuupe muda wakati.
Asante Kwa taarifa,

Kuna mabadiliko hayana budi Kutokea hivi karibuni.

Let it be.

Aamen.
 
Mfumuko wa bei kwenye bidhaa za chakula, unatakiwa kutafutiwa ufumbuzi wa haraka. Hali ni mbaya.

Kama kwenye baadhi ya maeneo ya nchi; mchele kilo 1 ni elfu 3+ mwezi huu Disemba! Vipi ikifikia mwezi Machi? Unga wa mahindi kilo 1 inacheza kwenye 1700-1800!! Maharage kilo inaenda mpaka elfu 4! Kweli?

Hii ni hatari. Serikali iko kimya kama maji ya mtungi! Haisikii kabisa kilio cha wananchi.
 
Back
Top Bottom