Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Ntaeleza kwa ufupi kadri iwezekanavyo
Iko hivi...
nilikuwa straight A student yule kipanga toka primary mpaka secondary kinachoniuma nilikuwa napata hayo matokeo in expense of my social life...nilikuwa siendi club, sikuwa mtu wa mademu wala mambo mengi... kifupi mshahara nilioupata ni Div I ambayo nshaisahau imebaki kwenye karatasi
Nikaendelea na tabia hiyo High-school japo pale palihitaji kukaza ndio kweli
Chuon nkabadilika nkala maisha na nikagraduate with honours(kiukweli sijutii nlikula bata nkatumia pesa, nkanywa, mbususu kadhaa japo ilibid mbususu zizid) nna fun memories kibao & crazy ones
Najutia kuipoteza ile fun huko nyuma ningeanza kula maisha zaman na nna hakika ningefaulu pass mark za kuendelea, katika hayo sijawahi jutia mda wangu wa chuon maana niliutendea haki
Nachotaka kusema kwamba Ninyi wazazi msiwakomalie watoto wenu kusoma tu pekee, muwape na mda wa social life waenjoy utoto/ujana wao
If there is a slightly chance of going back sitoenda kukomalia chand’s ntaenda kula maisha asee
Iko hivi...
nilikuwa straight A student yule kipanga toka primary mpaka secondary kinachoniuma nilikuwa napata hayo matokeo in expense of my social life...nilikuwa siendi club, sikuwa mtu wa mademu wala mambo mengi... kifupi mshahara nilioupata ni Div I ambayo nshaisahau imebaki kwenye karatasi
Nikaendelea na tabia hiyo High-school japo pale palihitaji kukaza ndio kweli
Chuon nkabadilika nkala maisha na nikagraduate with honours(kiukweli sijutii nlikula bata nkatumia pesa, nkanywa, mbususu kadhaa japo ilibid mbususu zizid) nna fun memories kibao & crazy ones
Najutia kuipoteza ile fun huko nyuma ningeanza kula maisha zaman na nna hakika ningefaulu pass mark za kuendelea, katika hayo sijawahi jutia mda wangu wa chuon maana niliutendea haki
Nachotaka kusema kwamba Ninyi wazazi msiwakomalie watoto wenu kusoma tu pekee, muwape na mda wa social life waenjoy utoto/ujana wao
If there is a slightly chance of going back sitoenda kukomalia chand’s ntaenda kula maisha asee