Hiyo si ndoa ni Doa.Kuolewa hakuna mwisho,hata ukiolewa na 78 yrs bado ni ndoa.........have fun,love yourself and do what makes you the happiest,life is short and there is no guarantee that when married everything will be smooth.......chelewa as much as you can,when you are comfortable and you meet someone.....go ahead!!
- baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
- baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
- baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
- baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
- baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
- baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
- baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!
34 miaka? Huyo si ndo munamuita mwanaumeokay kwa issue sio kuwa hawaolewi but wanachelewa kwa sababu ambazo wewe umezitaja , ndio ujue kila mtu anachoice ya mtu anayetaka kuishi naye mwingine anataka handsome akimpata hata kama yuko 34 roho imelizika anaolewa!mwingine anataka mwenye mapesa so hadi roho ipate kitu inapenda ati?kwani wewe utaoa mwanamke ambaye is not of ur dream???anaweza asiwe na vigezo vyote ulivyotamani but ukimpta mwenye 80% lazima utangaze ndoa.
Nimechoka nawasalimu tu.
Ha ha ha haaaaaa!sio wachaga.
Ni wapare.
We wa wapi, nieleze bana labda ni kijiji kimoja mi natoka KISHUMUNDU!mimi hiyo red ndo inanicost jamani sina tatizo lingine
inabidiKwani kuolewa lazima?
Nani kakuambia kama hiyo mizee imetulia? We unafikiri kwanini mabinti wengiSasa vijana wenyewe nyie usumbufu tuuuu, kesho huyu, leo huyu, jana huyu.
Hunisaidii chochote, nikiuomba vocha unasema, nikiwa mchafu unasema, nisipovaa vizuri unasema.
Daaa ama kweli dunia ina mambo.
M
mimi sitokei huko yaani hamna mwanaume yeyote wa hcho kijiji hapa nilipo na nikiwaambia tuoane niwalete mjini hawatakiwe wa wapi, nieleze bana labda ni kijiji kimoja mi natoka kishumundu!
1.Hali mbaya ya kiuchumi@kipipi nakubaliana nawewe, mbona na wao hawaonyesh yanayowafanya wachelewe kuoa? Kila m2 anamipango yake c lazima mwenzako akiolewa na wewe uolew kwa kuiga, hapana jaman.
Niambie bana maana huko kishumundu ni upande wa mamamimi sitokei huko yaani hamna mwanaume yeyote wa hcho kijiji hapa nilipo na nikiwaambia tuoane niwalete mjini hawataki
1.Hali mbaya ya kiuchumi
2. Muda mwingi masomoni
3.Kutopata chaguo sahihi
4.Mahari kubwa
5.Kumalizia utamu wa ujana
6.Idadi kubwa ya wanawake kiasi cha mtu kutumia muda mrefu katika kuchagua na kuonja
Hizo no.6 na 5 hazinihusu kabisaaaaa
sitaki mxer yaani nataka wa mita chache tuu toka home yaani awe jirani kabisa kule kijijini kwetuniambie bana maana huko kishumundu ni upande wa mama
tena alihamia tu kwenda kulima nieleze labda kijiji chetu ni kimoja
kwani hata mimi nataka wa nyumbani!
Weee si mmachame subiri nikuletee kijana wa kimachamesitaki mxer yaani nataka wa mita chache tuu toka home yaani awe jirani kabisa kule kijijini kwetu
mimi sio mmachame bana ila kijana wa machame huyo nitamkubali naskia wazuri kweliweee si mmachame subiri nikuletee kijana wa kimachame
Duh! kumbe ni mmachame, basi nimeghairi hata sitaki kumdanganya tenaWeee si mmachame subiri nikuletee kijana wa kimachame